Kamgomoli
JF-Expert Member
- May 3, 2018
- 1,896
- 4,058
1. Hakuna mgombea aliyezuiliwa kuchukua fomu za uchaguzi kama katimiza vigezo.
2. Hakuna mgombea aliyekosea kujaza fomu.
3. Hakuna Afisa uchaguzi aliejifungia ndani au kukimbia na kutelekeza ofisi ili kuwazuia wapinzani kurudisha fomu kwa wakati.
4. Hakuna polisi au Usalama wa Taifa waliongilia zoezi la uchaguzi kwa namna yoyote ile.
5.Kampeni zilifanywa kwa amani, uhuru na utulivu mkubwa.
6. Vyombo vya habari vimekuwa huru kuripoti habari na kuendesha mijadala ya wazi kwa wagombea bila upendeleo wala kumuonea mtu.
7. Wananchi wamepiga kura za wazi bila dalili za kununuliwa au kutishwa.
8. Kura zinahesabiwa live bila kificho.
9. Hakuna gari ya polisi iliyokamatwa ikikimbia na maboksi ya kura.
10. Serikali haijazima wala kuuchezea mtandao wa Internet.
11. Licha ya Rais kumuunga mkono mgombea mmojawapo lakini hajajihusisha wala kuingilia uchaguzi ili kumpendelea.
12.Tume ya uchaguzi kila mara inazungumza na waandishi wa habari na kuwaruhusu kuuliza maswali.
13.Matokeo yote yakitangazwa muda huohuo yanawekwa kwenye tovuti ya tume which means anyone anywhere can access it.
Kuna nchi fulani mwaka wa 3 toka ifanye uchaguzi lakini tovuti ya tume iko nyeupeeeee!
14. Hatujasikia matukio ya Kura kuharibika kama ile nchi ya Cuba ambapo eneo lenye nguvu kubwa ya upinzani swala la kura kuharibika huwa ni kawaida.
15. Hakuna mtu aliyepita bila kupingwa. Kila govana au mbunge kapitia kwenye tanuru la moto.
16. Hadi uchaguzi unaisha hakuna kiongozi au vijana wa upinzani waliopotezwa na watu wasiojulika au kupewa kesi ya uhaini, madawa ya kulevya au uhujumu uchumi.
Big up Kenyans!
[emoji122][emoji122][emoji122]
Nawasilisha.
2. Hakuna mgombea aliyekosea kujaza fomu.
3. Hakuna Afisa uchaguzi aliejifungia ndani au kukimbia na kutelekeza ofisi ili kuwazuia wapinzani kurudisha fomu kwa wakati.
4. Hakuna polisi au Usalama wa Taifa waliongilia zoezi la uchaguzi kwa namna yoyote ile.
5.Kampeni zilifanywa kwa amani, uhuru na utulivu mkubwa.
6. Vyombo vya habari vimekuwa huru kuripoti habari na kuendesha mijadala ya wazi kwa wagombea bila upendeleo wala kumuonea mtu.
7. Wananchi wamepiga kura za wazi bila dalili za kununuliwa au kutishwa.
8. Kura zinahesabiwa live bila kificho.
9. Hakuna gari ya polisi iliyokamatwa ikikimbia na maboksi ya kura.
10. Serikali haijazima wala kuuchezea mtandao wa Internet.
11. Licha ya Rais kumuunga mkono mgombea mmojawapo lakini hajajihusisha wala kuingilia uchaguzi ili kumpendelea.
12.Tume ya uchaguzi kila mara inazungumza na waandishi wa habari na kuwaruhusu kuuliza maswali.
13.Matokeo yote yakitangazwa muda huohuo yanawekwa kwenye tovuti ya tume which means anyone anywhere can access it.
Kuna nchi fulani mwaka wa 3 toka ifanye uchaguzi lakini tovuti ya tume iko nyeupeeeee!
14. Hatujasikia matukio ya Kura kuharibika kama ile nchi ya Cuba ambapo eneo lenye nguvu kubwa ya upinzani swala la kura kuharibika huwa ni kawaida.
15. Hakuna mtu aliyepita bila kupingwa. Kila govana au mbunge kapitia kwenye tanuru la moto.
16. Hadi uchaguzi unaisha hakuna kiongozi au vijana wa upinzani waliopotezwa na watu wasiojulika au kupewa kesi ya uhaini, madawa ya kulevya au uhujumu uchumi.
Big up Kenyans!
[emoji122][emoji122][emoji122]
Nawasilisha.