Kenya 2022 Mambo ya kushangaza kutoka uchaguzi wa Kenya

Kenya 2022 Mambo ya kushangaza kutoka uchaguzi wa Kenya

Kenya 2022 General Election

Kamgomoli

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2018
Posts
1,896
Reaction score
4,058
1. Hakuna mgombea aliyezuiliwa kuchukua fomu za uchaguzi kama katimiza vigezo.

2. Hakuna mgombea aliyekosea kujaza fomu.

3. Hakuna Afisa uchaguzi aliejifungia ndani au kukimbia na kutelekeza ofisi ili kuwazuia wapinzani kurudisha fomu kwa wakati.

4. Hakuna polisi au Usalama wa Taifa waliongilia zoezi la uchaguzi kwa namna yoyote ile.

5.Kampeni zilifanywa kwa amani, uhuru na utulivu mkubwa.

6. Vyombo vya habari vimekuwa huru kuripoti habari na kuendesha mijadala ya wazi kwa wagombea bila upendeleo wala kumuonea mtu.

7. Wananchi wamepiga kura za wazi bila dalili za kununuliwa au kutishwa.

8. Kura zinahesabiwa live bila kificho.

9. Hakuna gari ya polisi iliyokamatwa ikikimbia na maboksi ya kura.

10. Serikali haijazima wala kuuchezea mtandao wa Internet.

11. Licha ya Rais kumuunga mkono mgombea mmojawapo lakini hajajihusisha wala kuingilia uchaguzi ili kumpendelea.

12.Tume ya uchaguzi kila mara inazungumza na waandishi wa habari na kuwaruhusu kuuliza maswali.

13.Matokeo yote yakitangazwa muda huohuo yanawekwa kwenye tovuti ya tume which means anyone anywhere can access it.

Kuna nchi fulani mwaka wa 3 toka ifanye uchaguzi lakini tovuti ya tume iko nyeupeeeee!

14. Hatujasikia matukio ya Kura kuharibika kama ile nchi ya Cuba ambapo eneo lenye nguvu kubwa ya upinzani swala la kura kuharibika huwa ni kawaida.

15. Hakuna mtu aliyepita bila kupingwa. Kila govana au mbunge kapitia kwenye tanuru la moto.

16. Hadi uchaguzi unaisha hakuna kiongozi au vijana wa upinzani waliopotezwa na watu wasiojulika au kupewa kesi ya uhaini, madawa ya kulevya au uhujumu uchumi.

Big up Kenyans!

[emoji122][emoji122][emoji122]

Nawasilisha.
 
1. Hakuna mgombea aliyezuiliwa kuchukua fomu za uchaguzi kama katimiza vigezo.

2. Hakuna mgombea aliyekosea kujaza fomu.

3. Hakuna Afisa uchaguzi aliejifungia ndani au kukimbia na kutelekeza ofisi ili kuwazuia wapinzani kurudisha fomu kwa wakati.

4. Hakuna polisi au Usalama wa Taifa waliongilia zoezi la uchaguzi kwa namna yoyote ile.

5.Kampeni zilifanywa kwa amani, uhuru na utulivu mkubwa.

6. Vyombo vya habari vimekuwa huru kuripoti habari na kuendesha mijadala ya wazi kwa wagombea bila upendeleo wala kumuonea mtu.

7. Wananchi wamepiga kura za wazi bila dalili za kununuliwa au kutishwa.

8. Kura zinahesabiwa live bila kificho.

9. Hakuna gari ya polisi iliyokamatwa ikikimbia na maboksi ya kura.

10. Serikali haijazima wala kuuchezea mtandao wa Internet.

11. Licha ya Rais kumuunga mkono mgombea mmojawapo lakini hajajihusisha wala kuingilia uchaguzi ili kumpendelea.

12.Tume ya uchaguzi kila mara inazungumza na waandishi wa habari na kuwaruhusu kuuliza maswali.

13.Matokeo yote yakitangazwa muda huohuo yanawekwa kwenye tovuti ya tume which means anyone anywhere can access it.

Kuna nchi fulani mwaka wa 3 toka ifanye uchaguzi lakini tovuti ya tume iko nyeupeeeee!

14. Hatujasikia matukio ya Kura kuharibika kama ile nchi ya Cuba ambapo eneo lenye nguvu kubwa ya upinzani swala la kura kuharibika huwa ni kawaida.

15. Hakuna mtu aliyepita bila kupingwa. Kila govana au mbunge kapitia kwenye tanuru la moto.

16. Hadi uchaguzi unaisha hakuna kiongozi au vijana wa upinzani waliopotezwa na watu wasiojulika au kupewa kesi ya uhaini, madawa ya kulevya au uhujumu uchumi.

Big up Kenyans!

[emoji122][emoji122][emoji122]

Nawasilisha.
Kituo alichopigia kura Raila kwa mbwembwe sana,
Ruto ameongoza kwa kura,

Kituo alichopigia kura mgombea mwenza wa Raila Martha Karua, Ruto ameongoza kwa kura,

Kituo alichopigia kura Rais Uhuru Kenyatta, Ruto ameongoza kwa kura,

Kituo alichopigia kura mke wa Rais Uhuru Kenyatta, Margaret Kenyatta, Ruto ameongoza kwa kura,

Kituo alichopigia kura mama yake Rais Uhuru Kenyatta, Mama wa Taifa la Kenya, Ruto ameongoza kwa kura!
 
1. Hakuna mgombea aliyezuiliwa kuchukua fomu za uchaguzi kama katimiza vigezo.

2. Hakuna mgombea aliyekosea kujaza fomu.

3. Hakuna Afisa uchaguzi aliejifungia ndani au kukimbia na kutelekeza ofisi ili kuwazuia wapinzani kurudisha fomu kwa wakati.

4. Hakuna polisi au Usalama wa Taifa waliongilia zoezi la uchaguzi kwa namna yoyote ile.

5.Kampeni zilifanywa kwa amani, uhuru na utulivu mkubwa.

6. Vyombo vya habari vimekuwa huru kuripoti habari na kuendesha mijadala ya wazi kwa wagombea bila upendeleo wala kumuonea mtu.

7. Wananchi wamepiga kura za wazi bila dalili za kununuliwa au kutishwa.

8. Kura zinahesabiwa live bila kificho.

9. Hakuna gari ya polisi iliyokamatwa ikikimbia na maboksi ya kura.

10. Serikali haijazima wala kuuchezea mtandao wa Internet.

11. Licha ya Rais kumuunga mkono mgombea mmojawapo lakini hajajihusisha wala kuingilia uchaguzi ili kumpendelea.

12.Tume ya uchaguzi kila mara inazungumza na waandishi wa habari na kuwaruhusu kuuliza maswali.

13.Matokeo yote yakitangazwa muda huohuo yanawekwa kwenye tovuti ya tume which means anyone anywhere can access it.

Kuna nchi fulani mwaka wa 3 toka ifanye uchaguzi lakini tovuti ya tume iko nyeupeeeee!

14. Hatujasikia matukio ya Kura kuharibika kama ile nchi ya Cuba ambapo eneo lenye nguvu kubwa ya upinzani swala la kura kuharibika huwa ni kawaida.

15. Hakuna mtu aliyepita bila kupingwa. Kila govana au mbunge kapitia kwenye tanuru la moto.

16. Hadi uchaguzi unaisha hakuna kiongozi au vijana wa upinzani waliopotezwa na watu wasiojulika au kupewa kesi ya uhaini, madawa ya kulevya au uhujumu uchumi.

Big up Kenyans!

[emoji122][emoji122][emoji122]

Nawasilisha.
Kuna nchi fulani mwaka wa 3 toka ifanye uchaguzi lakini tovuti ya tume iko nyeupeeeee!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Hakuna mgombea aliyezuiliwa kuchukua fomu za uchaguzi kama katimiza vigezo.

2. Hakuna mgombea aliyekosea kujaza fomu.

3. Hakuna Afisa uchaguzi aliejifungia ndani au kukimbia na kutelekeza ofisi ili kuwazuia wapinzani kurudisha fomu kwa wakati.

4. Hakuna polisi au Usalama wa Taifa waliongilia zoezi la uchaguzi kwa namna yoyote ile.

5.Kampeni zilifanywa kwa amani, uhuru na utulivu mkubwa.

6. Vyombo vya habari vimekuwa huru kuripoti habari na kuendesha mijadala ya wazi kwa wagombea bila upendeleo wala kumuonea mtu.

7. Wananchi wamepiga kura za wazi bila dalili za kununuliwa au kutishwa.

8. Kura zinahesabiwa live bila kificho.

9. Hakuna gari ya polisi iliyokamatwa ikikimbia na maboksi ya kura.

10. Serikali haijazima wala kuuchezea mtandao wa Internet.

11. Licha ya Rais kumuunga mkono mgombea mmojawapo lakini hajajihusisha wala kuingilia uchaguzi ili kumpendelea.

12.Tume ya uchaguzi kila mara inazungumza na waandishi wa habari na kuwaruhusu kuuliza maswali.

13.Matokeo yote yakitangazwa muda huohuo yanawekwa kwenye tovuti ya tume which means anyone anywhere can access it.

Kuna nchi fulani mwaka wa 3 toka ifanye uchaguzi lakini tovuti ya tume iko nyeupeeeee!

14. Hatujasikia matukio ya Kura kuharibika kama ile nchi ya Cuba ambapo eneo lenye nguvu kubwa ya upinzani swala la kura kuharibika huwa ni kawaida.

15. Hakuna mtu aliyepita bila kupingwa. Kila govana au mbunge kapitia kwenye tanuru la moto.

16. Hadi uchaguzi unaisha hakuna kiongozi au vijana wa upinzani waliopotezwa na watu wasiojulika au kupewa kesi ya uhaini, madawa ya kulevya au uhujumu uchumi.

Big up Kenyans!

[emoji122][emoji122][emoji122]

Nawasilisha.
1. Hakuna mgombea aliyezuiliwa kuchukua fomu za uchaguzi kama katimiza vigezo.

2. Hakuna mgombea aliyekosea kujaza fomu.

3. Hakuna Afisa uchaguzi aliejifungia ndani au kukimbia na kutelekeza ofisi ili kuwazuia wapinzani kurudisha fomu kwa wakati.

4. Hakuna polisi au Usalama wa Taifa waliongilia zoezi la uchaguzi kwa namna yoyote ile.

5.Kampeni zilifanywa kwa amani, uhuru na utulivu mkubwa.

6. Vyombo vya habari vimekuwa huru kuripoti habari na kuendesha mijadala ya wazi kwa wagombea bila upendeleo wala kumuonea mtu.

7. Wananchi wamepiga kura za wazi bila dalili za kununuliwa au kutishwa.

8. Kura zinahesabiwa live bila kificho.

9. Hakuna gari ya polisi iliyokamatwa ikikimbia na maboksi ya kura.

10. Serikali haijazima wala kuuchezea mtandao wa Internet.

11. Licha ya Rais kumuunga mkono mgombea mmojawapo lakini hajajihusisha wala kuingilia uchaguzi ili kumpendelea.

12.Tume ya uchaguzi kila mara inazungumza na waandishi wa habari na kuwaruhusu kuuliza maswali.

13.Matokeo yote yakitangazwa muda huohuo yanawekwa kwenye tovuti ya tume which means anyone anywhere can access it.

Kuna nchi fulani mwaka wa 3 toka ifanye uchaguzi lakini tovuti ya tume iko nyeupeeeee!

14. Hatujasikia matukio ya Kura kuharibika kama ile nchi ya Cuba ambapo eneo lenye nguvu kubwa ya upinzani swala la kura kuharibika huwa ni kawaida.

15. Hakuna mtu aliyepita bila kupingwa. Kila govana au mbunge kapitia kwenye tanuru la moto.

16. Hadi uchaguzi unaisha hakuna kiongozi au vijana wa upinzani waliopotezwa na watu wasiojulika au kupewa kesi ya uhaini, madawa ya kulevya au uhujumu uchumi.

Big up Kenyans!

[emoji122][emoji122][emoji122]

Nawasilisha.
Ninakazia:

14. Hatujasikia matukio ya Kura kuharibika kama ile nchi ya Cuba ambapo eneo lenye nguvu kubwa ya upinzani swala la kura kuharibika huwa ni kawaida.

Hiiiiii bagosha!
 
Kaka ukinganlia process nzima ya uchaguzi Kenya, ni aibu kubwa kwa Taifa letu. Tumeachwa mbali mno.
 
Kuna nchi fulani ungesikia watu hawana vidole mara masikio .
Hili ni swala la kuchanga karata tu, msiwe na mnadharau ardhi mlizo zaliwa shenzi nyinyi.... Kwenu ni kwenu tu, hapo hamjui karata walivyo icheza Kenyata na Ruto, na ili pasitokee machafuko kama yaliyo pita Rais kaonekana kumsaidia mpinzani wake wa awali ili kuja kutuliza ghasia
 
Zitto yupo sahihi sana kupigania Tume huru kabla ya Katiba mpya.

Tanzania tunahitaji tume huru kwanza ili waingie watu wanaostahili ambao hao sasa ndio tutawadai Katiba mpya..
 
1. Hakuna mgombea aliyezuiliwa kuchukua fomu za uchaguzi kama katimiza vigezo.

2. Hakuna mgombea aliyekosea kujaza fomu.

3. Hakuna Afisa uchaguzi aliejifungia ndani au kukimbia na kutelekeza ofisi ili kuwazuia wapinzani kurudisha fomu kwa wakati.

4. Hakuna polisi au Usalama wa Taifa waliongilia zoezi la uchaguzi kwa namna yoyote ile.

5.Kampeni zilifanywa kwa amani, uhuru na utulivu mkubwa.

6. Vyombo vya habari vimekuwa huru kuripoti habari na kuendesha mijadala ya wazi kwa wagombea bila upendeleo wala kumuonea mtu.

7. Wananchi wamepiga kura za wazi bila dalili za kununuliwa au kutishwa.

8. Kura zinahesabiwa live bila kificho.

9. Hakuna gari ya polisi iliyokamatwa ikikimbia na maboksi ya kura.

10. Serikali haijazima wala kuuchezea mtandao wa Internet.

11. Licha ya Rais kumuunga mkono mgombea mmojawapo lakini hajajihusisha wala kuingilia uchaguzi ili kumpendelea.

12.Tume ya uchaguzi kila mara inazungumza na waandishi wa habari na kuwaruhusu kuuliza maswali.

13.Matokeo yote yakitangazwa muda huohuo yanawekwa kwenye tovuti ya tume which means anyone anywhere can access it.

Kuna nchi fulani mwaka wa 3 toka ifanye uchaguzi lakini tovuti ya tume iko nyeupeeeee!

14. Hatujasikia matukio ya Kura kuharibika kama ile nchi ya Cuba ambapo eneo lenye nguvu kubwa ya upinzani swala la kura kuharibika huwa ni kawaida.

15. Hakuna mtu aliyepita bila kupingwa. Kila govana au mbunge kapitia kwenye tanuru la moto.

16. Hadi uchaguzi unaisha hakuna kiongozi au vijana wa upinzani waliopotezwa na watu wasiojulika au kupewa kesi ya uhaini, madawa ya kulevya au uhujumu uchumi.

Big up Kenyans!

[emoji122][emoji122][emoji122]

Nawasilisha.
Hakuna polisi aliyepora fomu ya mgombea wa upinzani na kukimbia nayo! Mkuu hadi aibu yaani, Naipenda Nchi yangu TZ lakini hao nyani waliokalia viti wametufanya tuonekane watu pori wote!
 
Hili ni swala la kuchanga karata tu, msiwe na mnadharau ardhi mlizo zaliwa shenzi nyinyi.... Kwenu ni kwenu tu, hapo hamjui karata walivyo icheza Kenyata na Ruto, na ili pasitokee machafuko kama yaliyo pita Rais kaonekana kumsaidia mpinzani wake wa awali ili kuja kutuliza ghasia
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
 
1. Hakuna mgombea aliyezuiliwa kuchukua fomu za uchaguzi kama katimiza vigezo.

2. Hakuna mgombea aliyekosea kujaza fomu.

3. Hakuna Afisa uchaguzi aliejifungia ndani au kukimbia na kutelekeza ofisi ili kuwazuia wapinzani kurudisha fomu kwa wakati.

4. Hakuna polisi au Usalama wa Taifa waliongilia zoezi la uchaguzi kwa namna yoyote ile.

5.Kampeni zilifanywa kwa amani, uhuru na utulivu mkubwa.

6. Vyombo vya habari vimekuwa huru kuripoti habari na kuendesha mijadala ya wazi kwa wagombea bila upendeleo wala kumuonea mtu.

7. Wananchi wamepiga kura za wazi bila dalili za kununuliwa au kutishwa.

8. Kura zinahesabiwa live bila kificho.

9. Hakuna gari ya polisi iliyokamatwa ikikimbia na maboksi ya kura.

10. Serikali haijazima wala kuuchezea mtandao wa Internet.

11. Licha ya Rais kumuunga mkono mgombea mmojawapo lakini hajajihusisha wala kuingilia uchaguzi ili kumpendelea.

12.Tume ya uchaguzi kila mara inazungumza na waandishi wa habari na kuwaruhusu kuuliza maswali.

13.Matokeo yote yakitangazwa muda huohuo yanawekwa kwenye tovuti ya tume which means anyone anywhere can access it.

Kuna nchi fulani mwaka wa 3 toka ifanye uchaguzi lakini tovuti ya tume iko nyeupeeeee!

14. Hatujasikia matukio ya Kura kuharibika kama ile nchi ya Cuba ambapo eneo lenye nguvu kubwa ya upinzani swala la kura kuharibika huwa ni kawaida.

15. Hakuna mtu aliyepita bila kupingwa. Kila govana au mbunge kapitia kwenye tanuru la moto.

16. Hadi uchaguzi unaisha hakuna kiongozi au vijana wa upinzani waliopotezwa na watu wasiojulika au kupewa kesi ya uhaini, madawa ya kulevya au uhujumu uchumi.

Big up Kenyans!

[emoji122][emoji122][emoji122]

Nawasilisha.
Hiyo Cuba ulio isema ipo Africa mashariki?
 
1. Hakuna mgombea aliyezuiliwa kuchukua fomu za uchaguzi kama katimiza vigezo.

2. Hakuna mgombea aliyekosea kujaza fomu.

3. Hakuna Afisa uchaguzi aliejifungia ndani au kukimbia na kutelekeza ofisi ili kuwazuia wapinzani kurudisha fomu kwa wakati.

4. Hakuna polisi au Usalama wa Taifa waliongilia zoezi la uchaguzi kwa namna yoyote ile.

5.Kampeni zilifanywa kwa amani, uhuru na utulivu mkubwa.

6. Vyombo vya habari vimekuwa huru kuripoti habari na kuendesha mijadala ya wazi kwa wagombea bila upendeleo wala kumuonea mtu.

7. Wananchi wamepiga kura za wazi bila dalili za kununuliwa au kutishwa.

8. Kura zinahesabiwa live bila kificho.

9. Hakuna gari ya polisi iliyokamatwa ikikimbia na maboksi ya kura.

10. Serikali haijazima wala kuuchezea mtandao wa Internet.

11. Licha ya Rais kumuunga mkono mgombea mmojawapo lakini hajajihusisha wala kuingilia uchaguzi ili kumpendelea.

12.Tume ya uchaguzi kila mara inazungumza na waandishi wa habari na kuwaruhusu kuuliza maswali.

13.Matokeo yote yakitangazwa muda huohuo yanawekwa kwenye tovuti ya tume which means anyone anywhere can access it.

Kuna nchi fulani mwaka wa 3 toka ifanye uchaguzi lakini tovuti ya tume iko nyeupeeeee!

14. Hatujasikia matukio ya Kura kuharibika kama ile nchi ya Cuba ambapo eneo lenye nguvu kubwa ya upinzani swala la kura kuharibika huwa ni kawaida.

15. Hakuna mtu aliyepita bila kupingwa. Kila govana au mbunge kapitia kwenye tanuru la moto.

16. Hadi uchaguzi unaisha hakuna kiongozi au vijana wa upinzani waliopotezwa na watu wasiojulika au kupewa kesi ya uhaini, madawa ya kulevya au uhujumu uchumi.

Big up Kenyans!

[emoji122][emoji122][emoji122]

Nawasilisha.

Unacho sahau ni kabla ya kufika hapa walipofika leo kuna damu ya watu zaidi ya 1,200 ilimwagika kwenye chaguzi za nyuma. Inabidi kuchapana kidogo ili heshima iwepo kwa pande zote.
 
Hadi raha Tanzania waige sasa na wao waache upumbavu
Kenya hadi kufikia apo walishaga pigana ila sisi hii nchi kila mtu Ana rafiki au ndugu kitengo unazani nani ata react?

That's why kina mapo kimya tu watanzania sisi ni kama wajinga na Wanafiki.
 
Back
Top Bottom