Mambo ya kushangaza (ultimate amazing facts)

Ni kweli Einstein ana mchango mkubwa kwenye physics lakini wanampa ujiko mkubwa sana walikuwepo ma genius zaidi yake, wengine wanasema huenda alikuwa ana copy ideas,
Sasa mpaka macho wanayatunza ya nini
So unajua sifa za wazungu? Kitu kikiwsshangaza sana wanakihifadhi.. Hapa Tanganyika waliondoka mpaka na vichwa vya watemi wetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…