Kwa sababu hio dunia haita kuwa na mwisho wa mwanadamu.
Hakuna kujibizana maneno...wee ni vitendo tuu.
Astonishing
Kuku dance 😂Astonishing
Ni kweli Einstein ana mchango mkubwa kwenye physics lakini wanampa ujiko mkubwa sana walikuwepo ma genius zaidi yake, wengine wanasema huenda alikuwa ana copy ideas,
So unajua sifa za wazungu? Kitu kikiwsshangaza sana wanakihifadhi.. Hapa Tanganyika waliondoka mpaka na vichwa vya watemi wetuNi kweli Einstein ana mchango mkubwa kwenye physics lakini wanampa ujiko mkubwa sana walikuwepo ma genius zaidi yake, wengine wanasema huenda alikuwa ana copy ideas,
Sasa mpaka macho wanayatunza ya nini
There will be no google in 2050.