Mambo ya kustaajabisha kuhusu Japan

Mambo ya kustaajabisha kuhusu Japan

[emoji1][emoji1][emoji1] sema kwe wanajitaid sana kwenye swala la usaf

@military_Genius
 
Japan na nj wakweli yani uwa wananyoosha maneno yao wakiongea kitu mda mwingi
 
Mjep emu tuhadithie zaidi kuhusu ilo onesho 😀😀😀😀
Ukishiba sana haya ndiyo matokeo yake, mbona Nyapu show hawafanyi, hii kila mtu anayo! ajabu sasa na ke'' wanashadadia hii show! why? wakibaka hili sanamu itakuwaje
 
Hivi yoga ni nini hasa? Huwa naona tu lakini sijaifahamu

Ni mazoezi ya kawaida au ya kiroho zaidi?
Ata ukicheki documentary zao kuna jamaa anauwezo mkubwa mno wakukaa kwenye maji ya bahari kwa 20mnt bila vuta pumzi yani uwa anafanya yoga kwanza kabla yakuingia baharini anapumzi mno

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo hayo maajabu yanaendelea au ndio yameishia hapo hapo kwenye ajabu moja la picha ya uume mkuu?
 
Sasa maisha bila watoto, kuna raha gani?
Kuweka akiba ya fedha kabla mtoto kuzaliwa, wana ahadi na Mungu kwamba mtoto atakuwa vipi?

Taifa lisilopokea watoto ni taifa mfu, bila matumaini, kwa sababu watoto ni taifa la kesho.
Kama hali yao iko hivyo basi tutarajie mwisho wa kuwepo wajapani, kwa sababu baada ya muda watu wa mataifa mengine wataingia na kichukua uenyeji wa taifa la kijapani

Sent using Jamii Forums mobile app
Unahisi Japani imeanza jana mpaka utoe matarajio hayo?

Aliekwambia kuzaliana sana kuwa Taifa hai nani?

Ilisemwa tuzaliane je unajuaje kama upo kwenye kiwango sahihi cha kuzaliana kama ilivyotarajiwa na maandiko?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom