Mambo ya kutatanisha katika jamii kuhusu watu wenye upungufu wa akili

Mambo ya kutatanisha katika jamii kuhusu watu wenye upungufu wa akili

dexterous

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2014
Posts
2,037
Reaction score
3,134
Habari za wakti huu!

Kwenye maisha tunaishi na watu wa aina na makundi mbalimbali, ningependa kujua mengi juu ya kundi hili la hawa watu wenye matatizo ya akili (vichaa). Wengi wao tupo nao huku mitaani, wengi ni maarufu sana kimtaa hata kimkoa. Ningepnda kuuliza haya yafuatayo;

1. Ni kwanini hawapati magonjwa hasa kama kipindupindu; hii ni kutokana na mazingira waishio kuwa machafu na hata vyakula wanavyookota na kula.

2. Sijawahi kusikia kichaa kafa kwa kuumwa zaidi ya kusikia labda kauliwa, zaidi ni kuwa huwa wanapotea tu ghafla na pengine asirudi tena na akipotea ni vigumu kuja kumuona mkoa mwingine.

3. Ningepnda kufahamu, je kutokana na hali zao inawezekana kuwa kuna hali fulani hawahisi kama watu wa kawaida? mfano njaa, hasira, huruma, uchungu na mengineyo.

4. Je, wanapata hamu ya kufanya mapenzi? Hapa nieleweke kuwa kuna vishawishi pengine kwa kumuona mtu na kuvutiwa kufanya nae hilo tendo.

Asante, nawakaribisha..
 
Ni hivi engene ya kucontrol hisia,kutambua mema na mabaya{ubongo} haina mawasiliano shirikishi na sehemu zingine za mwi
 
Ngoja waje wajuvi wa mambo tupate kujifunza
 
1.nikwann hawapati magonjwa hasa kama kipindupindu hii ni kutokana na mazingira waishio kuwa machafu na hata vykula wanavyookota nakula

Vichaa wanaumwa na wanakufa Kama watu wengine, ulishawahi kwenda kwa kichaa ukamuuliza Kama anaumwa au la? Vichaa wapo very few mkuu to notice kuumwa kwao, kwan Wewe unauhakika na kila unachokula kwamba ni kisafi (unless ur rich)

2.sijawahi kusikia kichaa kafa labda kwa kwa kuumwa zaid ya kusikia labda kauliwa zaid nikuwa huwa wanapotea tu ghafla na pengne asirud tna na akipotea n vigumu kuja kumuona mkoa mwngne

Ulishawahi kutembelea milembe hosp iliyoko Dodoma ukauliza statistics za vifo vya wagonjwa wao?
Usidhan kwamba utakaa ndani na mtu akakuletea taarifa za kifo cha kichaa! Vichaa wanakufa na wengi wao wanazikwa na manispaa kwasababu hakuna ndugu wanaotokea.

Mkuu vitu kama hasira, mapenzi, matamanio etc umeshasema akili zao zimechanganyikiwa atajuaje kama hili tako zuri au la kama hata ugali uliotupwa na msafi hawezi kutofautisha??
 
Habari za wakti huu!

Kwenye maisha tunaishi na watu wa aina na makundi mbalimbali, ningependa kujua mengi juu ya kundi hili la hawa watu wenye matatizo ya akili (vichaa). Wengi wao tupo nao huku mitaani, wengi ni maarufu sana kimtaa hata kimkoa. Ningepnda kuuliza haya yafuatayo;

1. Ni kwanini hawapati magonjwa hasa kama kipindupindu; hii ni kutokana na mazingira waishio kuwa machafu na hata vyakula wanavyookota na kula.

2. Sijawahi kusikia kichaa kafa kwa kuumwa zaidi ya kusikia labda kauliwa, zaidi ni kuwa huwa wanapotea tu ghafla na pengine asirudi tena na akipotea ni vigumu kuja kumuona mkoa mwingine

3. Ningepnda kufahamu, je kutokana na hali zao inawezekana kuwa kuna hali fulani hawahisi kama watu wa kawaida? mfano njaa, hasira, huruma, uchungu na mengineyo.

4. Je, wanapata hamu ya kufanya mapenzi? Hapa nieleweke kuwa kuna vishawishi pengine kwa kumuona mtu na kuvutiwa kufanya nae hilo tendo.

Asante, nawakaribisha..

Hapo kwenye blue bold ndipo kuna sababu hasa ya kuanzisha thread, au sio?
 
Hata kumshabikia fisadi ni ukichaa tu

Mkuu nadhani uliileta hii kama utani lakini nataka kuiunga mkono ifuatavyo.

(Miaka ya late 80s na early 90s kulikuwa na kundi kama hili - likiitwa Tanzanet, na nafikiri ndio chanzo cha hii JF. Katika kundi hilo nilitoa mada kama hii kuhusu ukichaa - katika mjadala wa death penalty. Wale tuliokuwa nao enzi zile kama wakipitia hapa wanaweza kuongeza. Lakini msitoe identity yangu)

Ukichaa ni scale.
Sisi sote tuna ukichaa wa aina fulani.

Tunaojiita sisi ni wa kawaida ni kwa kuwa ukichaa wetu ni wa kawaida au wa wastani. Wale ambao ukichaa wao ni chini ya wastani basi tunawaita "wapole, hawana ghadhabu, wala hawajikuzi, nk." Wale ambao ukichaa wao ni zaidi ya wastani tunasema wale "machachari, utamjua tu akiingia hapa, wamezidi ngebe, nk." Wale wenye ukichaa ulikubuhu basi saa nyingine inabidi wafungwe kamba au kupewa madawa watulie.

Tunachoita ukichaa ni chemical imbalance kwenye ubongo. Hawa watu hawana tofauti na sisi ("normal" people). Wakipatiwa matibabu muafaka wana hisia zote tulizokuwa nazo sisi "wazima".

Tatizo moja ni kuwa society is very cruel. Watu wakishakujua au kuelezwa kuwa wewe ni mkichaa basi huponi tena!

Kwa sababu, siku ukifurahi na kucheka sana watu wataangaliana na kuulizana "vipi anarudiwa nini?" Ukiwa mkimya siku hiyo watu wataulizana tena, "vipi amekunya dawa zake?"

Jamii ikishakuita wewe ni mkichaa kwa kweli huponi tena. Salama yako ni kuhama mji au nchi.


Disclaimer:
Mimi sio medical doctor. Wenye taaluma zao wanaweza kuja hapa na kunichana chana vipande. Ninachokielezea hapa ni experience yangu katika maisha.
 
kuna vichaa fulani mmoja wakike na mwengine wakiume pale aghakan upanga upande wa bahari kuna kijichaka sijui kama bado kipo.. vichaa walikuwa wanafanya mapenzi.. na nimeona kwa macho yangu.
hiii nyingine ni yule kichaa aliyekuwa anatembea kufuata barabara mikumi.. na wanyama hawamdhuru hii ikoje!
 
Habari za wakti huu!

Kwenye maisha tunaishi na watu wa aina na makundi mbalimbali, ningependa kujua mengi juu ya kundi hili la hawa watu wenye matatizo ya akili (vichaa). Wengi wao tupo nao huku mitaani, wengi ni maarufu sana kimtaa hata kimkoa. Ningepnda kuuliza haya yafuatayo;

1. Ni kwanini hawapati magonjwa hasa kama kipindupindu; hii ni kutokana na mazingira waishio kuwa machafu na hata vyakula wanavyookota na kula.

2. Sijawahi kusikia kichaa kafa kwa kuumwa zaidi ya kusikia labda kauliwa, zaidi ni kuwa huwa wanapotea tu ghafla na pengine asirudi tena na akipotea ni vigumu kuja kumuona mkoa mwingine.

3. Ningepnda kufahamu, je kutokana na hali zao inawezekana kuwa kuna hali fulani hawahisi kama watu wa kawaida? mfano njaa, hasira, huruma, uchungu na mengineyo.

4. Je, wanapata hamu ya kufanya mapenzi? Hapa nieleweke kuwa kuna vishawishi pengine kwa kumuona mtu na kuvutiwa kufanya nae hilo tendo.

Asante, nawakaribisha..

Nani ana mandate ya kumuita mwenzake kichaa ?

mfano kuna mtu A na mtu B ambao wanatofautiana tabia
 
Mkuu nadhani uliileta hii kama utani lakini nataka kuiunga mkono ifuatavyo.

(Miaka ya late 80s na early 90s kulikuwa na kundi kama hili - likiitwa Tanzanet, na nafikiri ndio chanzo cha hii JF. Katika kundi hilo nilitoa mada kama hii kuhusu ukichaa - katika mjadala wa death penalty. Wale tuliokuwa nao enzi zile kama wakipitia hapa wanaweza kuongeza. Lakini msitoe identity yangu)

Ukichaa ni scale.
Sisi sote tuna ukichaa wa aina fulani.

Tunaojiita sisi ni wa kawaida ni kwa kuwa ukichaa wetu ni wa kawaida au wa wastani. Wale ambao ukichaa wao ni chini ya wastani basi tunawaita "wapole, hawana ghadhabu, wala hawajikuzi, nk." Wale ambao ukichaa wao ni zaidi ya wastani tunasema wale "machachari, utamjua tu akiingia hapa, wamezidi ngebe, nk." Wale wenye ukichaa ulikubuhu basi saa nyingine inabidi wafungwe kamba au kupewa madawa watulie.

Tunachoita ukichaa ni chemical imbalance kwenye ubongo. Hawa watu hawana tofauti na sisi ("normal" people). Wakipatiwa matibabu muafaka wana hisia zote tulizokuwa nazo sisi "wazima".

Tatizo moja ni kuwa society is very cruel. Watu wakishakujua au kuelezwa kuwa wewe ni mkichaa basi huponi tena!

Kwa sababu, siku ukifurahi na kucheka sana watu wataangaliana na kuulizana "vipi anarudiwa nini?" Ukiwa mkimya siku hiyo watu wataulizana tena, "vipi amekunya dawa zake?"

Jamii ikishakuita wewe ni mkichaa kwa kweli huponi tena. Salama yako ni kuhama mji au nchi.


Disclaimer:
Mimi sio medical doctor. Wenye taaluma zao wanaweza kuja hapa na kunichana chana vipande. Ninachokielezea hapa ni experience yangu katika maisha.

Very good analysis nadhani nimekuelewa kuliko wengine wote.Kuna Mbunge Mmoja wa Upinzani ambae pia ni Mwanasheria Sikujua kwann walikuwa wanamwita kichaa sasa ndo naanza kuelewa ulichokieleza hapa.bila kusahau DR na mgombea urais kutoka kwa kina hammyjay nae ukimya wake umezidi na unatia shaka nadhan nae atakua kichaa tu
 
kuna vichaa fulani mmoja wakike na mwengine wakiume pale aghakan upanga upande wa bahari kuna kijichaka sijui kama bado kipo.. vichaa walikuwa wanafanya mapenzi.. na nimeona kwa macho yangu.
hiii nyingine ni yule kichaa aliyekuwa anatembea kufuata barabara mikumi.. na wanyama hawamdhuru hii ikoje!


Mungu anawalinda mkuu.
 
Vichaa wanaumwa na wanakufa Kama watu wengine, ulishawahi kwenda kwa kichaa ukamuuliza Kama anaumwa au la? Vichaa wapo very few mkuu to notice kuumwa kwao, kwan Wewe unauhakika na kila unachokula kwamba ni kisafi (unless ur rich)



Ulishawahi kutembelea milembe hosp iliyoko Dodoma ukauliza statistics za vifo vya wagonjwa wao?
Usidhan kwamba utakaa ndani na mtu akakuletea taarifa za kifo cha kichaa! Vichaa wanakufa na wengi wao wanazikwa na manispaa kwasababu hakuna ndugu wanaotokea.

Mkuu vitu kama hasira, mapenzi, matamanio etc umeshasema akili zao zimechanganyikiwa atajuaje kama hili tako zuri au la kama hata ugali uliotupwa na msafi hawezi kutofautisha??

Nahisi mtoa mada kawazungumzia wale vichaa wa mitaani, sio wa huko Milembe Dodoma
 
Nahisi mtoa mada kawazungumzia wale vichaa wa mitaani, sio wa huko Milembe Dodoma
Tofauti yao ni nini? wa milembe Dodoma wanatokea wapi?? Ukichaa ni ugonjwa kama ugonjwa mwingine, ni imani potofu kuanza kuamini kwamba huwa wanavanish ilhali haupo interested nao.
 
Tofauti yao ni nini? wa milembe Dodoma wanatokea wapi?? Ukichaa ni ugonjwa kama ugonjwa mwingine, ni imani potofu kuanza kuamini kwamba huwa wanavanish ilhali haupo interested nao.

Nilijaribu kuelewa hivo lakini
 
Utafiti mwingine hauna gharama vuta bangi msokoto mmoja na glass ya gongo kaa juani masaa mawili utapata majibu
 
Back
Top Bottom