Mambo ya Kuzingatia kabla haujafungua kesi

Mambo ya Kuzingatia kabla haujafungua kesi

Moto wa volcano

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2018
Posts
1,148
Reaction score
2,815
Kitu nilichojifunza kwenye kufungua kesi.

No.1 Hakikisha wewe mwenyewe una ushaidi ulioshiba bila kutegemea watu.

No.2 Usiokote mawakili wa barabarani, tafuta mawakili kupitia watu wako wa karibu na pia usimtumie mwanasheria ambaye ana njaa ni rahisi kununulika akakufelisha.

No.3 Ni ngumu kufuatilia kesi mahakamani kama wewe ni muajiriwa.
 
Mwisho kabisa kwa bara letu giza Kama huna umate mate haki ni ngumu sana kupatikana hata ukiwa na ushahidi luluki.
 
Ufafanuzi tafadhali
haki iliyocheleweshwa ni sawa na haki iliyodhulumiwa.
*mchuzi wa mbwa unywewe ungali wa moto
#kadri kesi inavyochelewa kupatiwa uamzi/hukumu; ndivyo hupoteza ladha ya haki na kujenga mianya ya rushwa
 
Back
Top Bottom