Mambo ya kuzingatia kabla ya kwenda kwenye usaili wa Jeshi la Polisi

Mambo ya kuzingatia kabla ya kwenda kwenye usaili wa Jeshi la Polisi

Am For Real

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2023
Posts
323
Reaction score
770
Wakuu ni mambo gani tunapaswa kuzingatia kabla ya kwenda kwenye usaili wa Jeshi la POLISI Tanzania.Tusaidiane.Ya chini chini niliyoyaskia ni haya:

1. Usiwe na HIV/AIDS.

2. Usiwe na makovu.

3. Watafanya kipimo Cha uanaume Ngoma inasimama

4. Wanakagua mambo kama ya Ushoga ulishawahi shiriki.Kama ni shoga huna Nguvu za usijisumbue kwenda.

5. Tattoo mambo ya vijana usijihangaishe kwenda.

6 .Tuvae official tusivae matisheti yenye mafuvu na majokeri

7. Nidhamu

8. Tunyoe nywele safi na ndevu tukwangue zote ikiwezekana tupige para.Sijui Kwa wanawake

9. Hakikisha unaenda na vyeti vyako vinavyohitajika.Ikiwemo Vya Taaluma na Cha KUZALIWA na kitambulisho Cha taifa au NIDA Kama huna kitambulisho.

10. Hamna haja ya kuvaa makacha au macheni na mabling bling.
 
Wakuu ni mambo gani tunapaswa kuzingatia kabla ya kwenda kwenye usaili wa Jeshi la POLISI Tanzania.Tusaidiane.Ya chini chini niliyoyaskia ni haya

1 Usiwe na HIV/AIDS.

2 Usiwe na makovu.

3 Watafanya kipimo Cha uanaume Ngoma inasimama

4 Wanakagua mambo kama ya Ushoga ulishawahi shiriki.Kama ni shoga huna Nguvu za usijisumbue kwenda.

5 Tattoo mambo ya vijana usijihangaishe kwenda.

6 Tuvae official tusivae matisheti yenye mafuvu na majokeri

7 Nidhamu

8Tunyoe nywele safi na ndevu tukwangue zote ikiwezekana tupige para.Sijui Kwa wanawake

9 Hakikisha unaenda na vyeti vyako vinavyohitajika.Ikiwemo Vya Taaluma na Cha KUZALIWA na kitambulisho Cha taifa au NIDA Kama huna kitambulisho.

10 Hamna haja ya kuvaa makacha au macheni na mabling bling.
Mkuu kwa wenye shahada wanachuja kwa njia gani ?.
 
Wakuu ni mambo gani tunapaswa kuzingatia kabla ya kwenda kwenye usaili wa Jeshi la POLISI Tanzania.Tusaidiane.Ya chini chini niliyoyaskia ni haya

1 Usiwe na HIV/AIDS.

2 Usiwe na makovu.

3 Watafanya kipimo Cha uanaume Ngoma inasimama

4 Wanakagua mambo kama ya Ushoga ulishawahi shiriki.Kama ni shoga huna Nguvu za usijisumbue kwenda.

5 Tattoo mambo ya vijana usijihangaishe kwenda.

6 Tuvae official tusivae matisheti yenye mafuvu na majokeri

7 Nidhamu

8Tunyoe nywele safi na ndevu tukwangue zote ikiwezekana tupige para.Sijui Kwa wanawake

9 Hakikisha unaenda na vyeti vyako vinavyohitajika.Ikiwemo Vya Taaluma na Cha KUZALIWA na kitambulisho Cha taifa au NIDA Kama huna kitambulisho.

10 Hamna haja ya kuvaa makacha au macheni na mabling bling.
nyongeza
11. wanakagua jinsia ya ke kana ulishawahi kushiriki tendo kinyume na maumbile.
12. Kama umejifungua kwa upasuaji.
 
Mkuu kwa wenye shahada wanachuja kwa njia gani ?.
Kuna wenye HiV ya kuzaliwa?na w anatumia dawa vizuri sana..hawa inakuaje?
Na nguvu za kiume wanapimaje Sasa,uume kusi mama hio wanakuwekea nn😂😂
Na kwa wanawake waliojifungua kwa upasuaji,Vipi kwa wanaume ambae alifanyiwa upasuaji wowote huko nyuma??
 
Kuna wenye HiV ya kuzaliwa?na w anatumia dawa vizuri sana..hawa inakuaje?
Na nguvu za kiume wanapimaje Sasa,uume kusi mama hio wanakuwekea nn😂😂
Na kwa wanawake waliojifungua kwa upasuaji,Vipi kwa wanaume ambae alifanyiwa upasuaji wowote huko nyuma??
😁
 
Kuna wenye HiV ya kuzaliwa?na w anatumia dawa vizuri sana..hawa inakuaje?
Na nguvu za kiume wanapimaje Sasa,uume kusi mama hio wanakuwekea nn😂😂
Na kwa wanawake waliojifungua kwa upasuaji,Vipi kwa wanaume ambae alifanyiwa upasuaji wowote huko nyuma??
Soma nmefufunua vizuri
 
Hapa wanapima vipimo ni vitatu
1. Gololi zote ziwe Sawa sio 1 ndogo nyingine kubwa
2. Utapigwa dole kuhakiki km hujawahi
3. Kohoa ukiwa umebong'oa
Golori asilimia kubwa ziko tofauti ni nadra sana kukuta ziko sawa.
 
Jamani hivi... nguo za michezo ndio tunaenda tukiwa tumezivaa au tunaenda tumevaa nguo zingine uku tukiwa na nguo za michezo?
 
Naomba kuuliza usahili wa polisi 2024 kwa mkoa wa pwani unafanyika wapi kimkoa
 
Back
Top Bottom