Kwamba sie ndio wauza bodaboda used😂😂😂
Muuzajia akupe hivi vitu.Mimi ni kijana ambaye niko jiji Dar es Salaam katika harakati za kutafuta pesa nmefikiria kununua boda boda ili niweze kujiongezea kipato lakini kutokana na boda boda mpya kuwa gharama sana nmefikiria kununua boda boda used ambayo gharama yake inaweza anzia kwenye 800k had 1.2M
Nilikuwa nauliza vitu gani nizingatie ili nisije nunua boda boda ya wizi au nikabambikiwa boda boda mbovu?
Shukran sana mkuuMuuzajia akupe hivi vitu.
1. Kadi original ya pikipiki
2. nakala ya kitambusho chake (majina yafanane na yaliyo kwenye kadi)
3. passport size (picha)
Zingatia kupata Mkataba wa mauziano wenye mhuri wa mwanasheria pamoja na risiti ya EFD (Hii itakusaidia kwenye kubadilisha umiliki TRA).
NB. Nenda na fundi aikague kama pikipiki bado ni nzima.
Mwisho: Anza kazi ya bodaboda lakini zingatia sana usalama wako uwapo barabarani, boda boda ni hatari.
Shukran sana mkuu angalau nimepata mwanga+
Toa tank na kiti hakikisha frem haikukatika kisha ikaungwa ...
Angalia kwenye Bomba maungio ya steering Kuna # ya chassis na kwenye engine vifanane na kadi....
... Kama unazijua pikipiki... Kila aina Ina mlio wake... weka free kaba mafuta sikiliza mlio wa engine Kama upo kwenye uzio za hiyo pkpk kama utambuzi huo unakushinda tafuta fundi akusaidie
Ulitaka upate giza sioShukran sana mkuu angalau nimepata mwanga