Mambo ya kuzingatia uwapo safarini

We siyo mstaarabu,ungenunua hata bigijii ili usiwe kero Kwa wengine
 
Kama story ya kweli hivi.
 
Aisee we jamaa umetisha sana.😁
 
Itoshe kusema kuwa jamaa alitukanwa kila tusi la duniani, mimi na cha maringo wangu tukarudi dar na kuendeleza libeneke kwa miezi kadhaa mbele mpaka nilipoamua kumpotezea kutokana na demu kuwa na shida za kila siku kuliko ha
Eyooooo gwe jhubhaaaaaa....... mwana kondoo mrembo mringaji anamfuata kaka chinjachinja 🇨🇳, akachinjwe kwa hiari yake mwenyewe
 
Usipende kutongoza tongoza hovyo ukiwa safarini.
 
hahaha,wasambaa na Mambo yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…