Mambo ya kuzingatia uwapo safarini

Ndo maana unamtetea ushoga kumbe na wewe ni nanii
Acha dharau hakuna unachojua kuhusu mimi,hizo ni hisia zako tu....mimi ni mwanaume tena baba wa familia na wanangu wanapata mahitaji kama katiba inavyotaka
 
Hapo unachukua point zote 3 zaidi hata yule aliemnunulia huyo mtoto Marcedes
 
[emoji23][emoji23][emoji23] dah hatari sana
 
Dah! Umenifurahisha kwa ukarimu wako! Hiyo hali inatesa sana.

Wewe ni mume bora kwa mkeo[emoji2935]
 
#5 noma sana[emoji23]
 
Yani ndio Bus linatoka mule Mbezi Louis kuitafuta Morogoro road, mama na mtoto waliokaa pembeni yangu wote kwa pamoja wakaanza kutapika. Dakika sifuri tu nimepakwa matapishi dadek.

Sijawahi kusafiri kwa raha mimi.

Enzi za Mohammed trans, natoka kanda ya ziwa kuitafuta Dar. Kuna wabibi ndani ya bus wanasafiri na wajukuu wao wadogo sana kiumri. Mmoja kati yao akaachia uharo kwenye corridor zile za katikati ya siti. Bus zima tulitafutana kwa hiyo harufu yake!

Mara nyingine tena natoka Dar kwenda Kanda ya Ziwa, ndani kuna familia ya hawa ndugu zetu wasukuma. Yani mmoja amekaa siti ya nyuma kabisa, anapiga story na mwenzie aliekaa siti ya katikati ya Bus. Walipanda na ndoo ndogo ya maji ya kunywa, wanachota kwa kikombe then wanapasiana kutoka nyuma mpaka katikati. Siku hiyo kabila lote la wasukuma lilinikwaza!

Mara ya mwisho nimepanda Bus, siti ya pembeni akakaa mzee mmoja hivi. Asee mzee alikua ananuka tumbaku sijawahi ona. Kila watu wakishuka kula na kuchimba dawa, yeye anashuka kuvuta tumbaku zake. Nilifika kwa tabu sana wakuu!
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kuna wengine wanapenda kuongea jmn tena usiombee awe anasoma gazeti ndio atataka kila habari adiscuss na wew, iwe siasa, iwe michezo ili mradi ni kuongea mwanzo mwisho...[emoji847]
Mwambie masikio yangu hayapendi disturbances ambazo haziambatani na cash. Yee nwenyewe atakaa kimya
 
Wasukuma noma sana aisee
 
11. Usile hovyo hovyo njiani hasa vyakula vyenye harufu kali kama mayai na chips.

12. Ukipishana kauli na abiria mwenzako usitumie lugha za matusi, heshimu watu usiowajua.

13. Ukikaa na binti mzuri jitahidi basi kumliwaza kwa stori nzuri na mwisho wa safari omba namba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…