Radio Producer
JF-Expert Member
- Feb 4, 2011
- 726
- 320
Huyo Babu analinda Hati Milki (COSOTA) yake kuhusu hiyo dawa ndio maana hataki kuwashirikisha wengine, wabongo hawakawii kuichakachaua dawa yake. Na kuhusu masharti mengine, hata Naaman (yule wa kwenye Biblia) aliwepewa masharti ya kujichovya mara saba, kapona.
Umeanza kwa kusema "dawa ya Mungu haina masharti" then umeongeza " hata ukipewa sio masharti kama ya Loliondo" sasa unataka tuamini lipi?
Alichovya yeye kwa ridhaa na uhuru wake wakati akiwa na uwezo wa kukabili ugonjwa wake! Sasa wanaozidiwa wamesubiri kuchoivya hata wengine ikiwezekana kufa unalizungumziaje??
Pumba producer bana! Aaah sorry redio kumbe!
Kama huna imani na dawa ya Babu kaa kimya usivunje moyo wengine, huu ni upumbavu kabisa!!!!
Huyu mgonjwa ana hasira nenda kanywe naamini ukirudi utakua umepona na hasira zimeisha kabisaa
pumba producer mbona HIV ipo na nikwakila mtu! angalie usidondoke ukijiona umesimama!Inaonekana unatetea sana nahisi VVU kwako ilikuwa vile kiaina yani, ila hamna dili nenda kunywa dawa subiri kufa!View attachment 24662
pumba producer mbona HIV ipo na nikwakila mtu! angalie usidondoke ukijiona umesimama!
Ukweli mara nyingi huwa tunaupinga ndio maana hata CDM inapingwa ila baadaeeee ukweli utakuwa wazi! na kwahali hii itafikia vifo hata zaidi ya kumi kwa siku kwani amesema jana itamchukua mtu mmoja mwezi 1 kuonana nae kwani watu kutoka nje watakuja kwa wingi hapo sawa!
duh, hii kali, nadhani ni bora kuwa na uhakika wa jambo kuliko kuhukumu bila uhakika. nenda kapewe dawa na babu usipopona njoo tuandikie:mullet:
ungeshauri uwekwe utaratibu wa watu kutibiwa na huduma za kijamii zipelekwe haraka sio kucritisize huduma ya Babu, huenda hayajakukuta.
endelea kuproduce pumba zako mzee wa PUMBAPole baba!
endelea kuproduce pumba zako mzee wa PUMBA
IS this a breaking news?
KWAMBA NI KUTOKA KWA MUNGU AU KWA SHETANI SIJUI, NINACHOJUA MIMI NI KWAMBA NILIKUWA MGONJWA NA SASA NIMEPONA