Mambo ya kwa Babu LOLIONDO


Sina maelezo ya kukusaidia zaidi ndugu yangu ingawa mie kama wewe nimeombea jambo hili ili kupata mafunuo zaidi usiku mmoja. Na Roho kwa namna ya ajabu usiku ule alinielekeza katika Zaburi 34 (please read na uamue). Unajua wanadamu tumeteseka sana na magonjwa ya kila aina na sasa baada ya Babu kutokea tunaona ndiyo pumziko limekuja kimsingi hakuna anayehoji sana kwani the driving force ni kupona na kuwa HURU. Ila neno linasema zijaribuni ROHO hiyo ndiyo caution yangu.
 



Amepewa kwa neema na anatoa kwaneema.

Yawezekana walengwa walikuwa ni majirani zake wa kipato cha chini...

Mungu amzidishie ili kila mtu aweze kuaford matibabu..
Big up babu!

kwa kusoma hizi replay zenu nashindwa hata kumalizia thread yote...... Coz sijapata kuona mawazo yaliokaa kushoto kama hayo hapo juu
 
Kwa hiyo wachawi wanashauriwa wasiende?.......kuna mzee mmoja hapa mtaani anasadikiwa kuwa ni mchawi sana na anampango wa kuelekea huko kwani ana kisukari tumshauri asiende?........................
Ila watu waache kucheza na babu jamani........................tumwogope mungu tafadhari!
 
we sema karama za Mungu haziuzwi, haziuzwi kwa hiyo shilingi mia tano 500, sasa sijui kinachoendelea hapo. mi yangu macho....nitaona hii issue inaishia wapi, kwasababu kama ni jambo la Mungu litaishia kuzuri, lakini kama ni jambo ambalo si la Mungu litaishia kubaya sana.
 

Heshima kwako Jile79,

Mkuu anaweza kwenda lakini mshauri kwanza aachane na uchawi vinginevyo anaweza kuumbuka sana.Naomba nisisitize kwamba kama umetupiwa kitu kibaya kwa Babu ni mahali pake haswa.
 
Mimi nina sumbuliwa na pressure ( hypertension) pamoja na kisukari ( type 2 Diabetes) kwa mwaka wa pili sasa! nimekunywa dawa za hospitalini na za kienyeji adi 'nimetosha' natamani sana kwenda kwa babu lakini 'kaburu' ananyima ruhusaa sasa nafikiria ku resign kazi ili niende kupata matibabu kwa babu ila nasita kidogo kwa maana sijapata uthibitisho wa mtu yoyote ninaye mjua aliye pona, hivyo kama kuna JF member yoyote aliyekuwa na tatizo kama langu akaenda kwa babu kupata kikombe akapona kabisaa naomba ata ani PM ili nianze 'Plan B' ya ku resign ndani ya wiki hii
 
Umeenda mbali sana, kumwekea sumu ili afe,.... hapana.

Mkuu wala sijasema watamwekea sumu ili afe yeye,, hapana,, sumu inaweza kuwekwa ili watu wafe iwe kama kibwetere na hivyo kum disqualify. Huo ni wasiwasi wangu tu,, ila naomba aweke ulinzi mkali kwenye dawa yake
 

asavali umempa jibu sahihi
 

Mkuu umenigusa!
Mtu yuko bize masaa yote halimi, hafugi, haimbi atakula nini!?
tena hta hiyo 500 hachukui yoote, anapata 200tu. Duniani wapingaji(makafiri) hawakosekani..achana nao...
Yule mzee ni wa kuombewa,...........hivi kuna mtu amesema anatamani sana kwenda kwa babu lakini hana sh500!! watu bwana!
 
Kwa nyomi lile unafikiri watamtakia mema babu????????? yule mzee balaaa...halafu hata hawajibu..:bump2:
 
namfaham sana . ndio wanamzika sasa hivi .
 
Hawa sasa nado wapinga kristo wenyewe hao,watapotosha umma kwa faida zao wenyewe............huyu ni mojawapo
 
Mkuu hiyo ndiyo naisikia toka kwako....ila nimesikia mengi ya ajabu toka kwa babu wa loliondo..kama vile walioiba furishi la mahela yake kuvamiwa na kundi la nyani wakakimbia hadi kujisalimisha kwa babu nasikia yeye akawasmehe ila polisai wakawang'ang'nia...
Lapili ni polisi aliepokea rushwa toka kwa mama mmoja shs50,000/= mchungaji akamshtukia, akamwambia arudishe, polisi akakana, mara polisi akajisikia kikohozi akakohoa ile 50,000/= ikatoka...
Kifupi ukienda kwa babu jitahidi uwe mtu mwema la sivyo yata kukuta mabaya mno!
 
afya kwanza mambo mengine badae
 

Hapo kwenye red fafanua please Ilitokea wapi??????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????
 
We vipi kweli afya kwanza bwana!!! utafaidi vipi umeme wakati una kaukimwimwi kamekulaza chali?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…