Natumai wote ni wazima wanaJF wenzangu.
Well najua mengi yamesemwa kuhusu loliondo. Ila mimi ushauri wangu ni mdogo tu. Tuhakikishe tunafanya medical checkup kabla ya kwenda loliondo, ili ujijue kama unatatizo ama huna. Maana watu wengi hawana tatizo lolote la kiafya lakini wanaenda tu, sasa hiyo inakuwa ni kama kupoteza muda na pia fedha ambazo zingetumika kwa mambo mengine ya kimaendeleo zaidi. Ni hayo tu. Pia naomba mniwie radhi iwapo nitakuwa nimekosea jukwaa maana nilikuwa siona category mbadala ya kuiweka hii. Jioni njema wanajamvi
mmhh
hizi stori za lolliondo zimekuwa nyingi sana humu JF
na hata sielewei ..
kuna mtu ambaye anaweza kunielewesha ni nini kinaendelea huko???
tafadhali usinijibu kama huna nia ya kunijulisha
AD.....
Na kuna anaye mwaminiw?
Hutaamini hata nikikwambia, nilifika huko jana asubuhi saa 12 na gari niliyokuwemo ilikuwa ipo umbali wa approx. 3km toka alipotoa dawa Babu.
Kweli kabisa tatizo ni mafuta.Siyo kwa babu tatizo ni bei ya mafuta!
Natumai wote ni wazima wanaJF wenzangu.
Well najua mengi yamesemwa kuhusu loliondo. Ila mimi ushauri wangu ni mdogo tu. Tuhakikishe tunafanya medical checkup kabla ya kwenda loliondo, ili ujijue kama unatatizo ama huna. Maana watu wengi hawana tatizo lolote la kiafya lakini wanaenda tu, sasa hiyo inakuwa ni kama kupoteza muda na pia fedha ambazo zingetumika kwa mambo mengine ya kimaendeleo zaidi. Ni hayo tu. Pia naomba mniwie radhi iwapo nitakuwa nimekosea jukwaa maana nilikuwa siona category mbadala ya kuiweka hii. Jioni njema wanajamvi
Huko Loliondo kumetokea 'Babu' ekchuare ni Mchungaaji mstaafu wa KKKT ambaya anadai mawasiliano vere dairekti with Muumba. Basi Muumba akamuonesha (onyesha?) kuwa aina fulani (specie) ya acacia tree ina dawa kwa ajili ya yale magonjwa yasiyotibika. Akaanza kazi yake mwaka jana mwishoni around Oct. kitu kama hiyo.
Na ndicho anachofanya, kutoa kikombe kimoja cha maji yenye 'sumu' hiyo. Na imekuwa gumzo, all roads leads to Loliondo! Sikushauri uende ila nenda, boooonge la advencha!
topic closed
mbona kwenye majumba yetu tunawapangisha na viwanja tunawauzia maana hii dar kiasili ilikuwa inakaliwa na waislamu kama tungekuwa na khiyana msinge kuwa na viwanja wala nyumba za kupanga ktk hili jiji.
what do u mean Ivuga
Angeoa binti mdogo kama ww!
Kwa hizo 3km itakuchukua siku ngapi mpaka kupata dawa?