NgomaNgumu
Senior Member
- Nov 20, 2010
- 194
- 24
Originally Posted by Masanja
Hizi zote ni ishara za watu waliokata tamaa na maisha! We fail to invest in better infrastructures, health services, education, roads...etc for our children..na tunaanza kukimbilia Loliondo kutafuta dawa za kututibu ukimwi na kansa! Ama kweli! Umasikini ni kitu kibaya. Lakini ni kibaya zaidi kama ni umasikini wa fikra. I only wish tungekwenda Loliondo kukomboa mbuga yetu aliyogawiwa yule mwaraabu...perhaps angetupa kodi zaidi tukajenga ile barabara ya Arusha-Loliondo!
Kama mnabisha kwamba watanzania tumekata tamaa na maisha angalia vitu kama DECI vilipoingia hata wakubwa wa serikalini waliiba kodi zetu wakaenda 'kupanda mbegu' sijui leo DECI iko wapi...mifano ni mingi jamani
Ushauri wangu kwa watanzania wenzangu: Mafanikio hayana short cut. Huwezi kupata utajiri simply kwa kwenda kwa mganga! work hard and bit of 'luck' money will come. Ni kupenda hivi vitu vya mkato mkato ndo tunazidi kuwa masikini. Unalala..usiku asubuhi unataka uendeshe Lexus! Unless uibe utaipata wapi? Mwanafunzi anashindwa kusoma shule anataka mganga amsaidie kufaulu mtihani! Tunawanyima haki wanachi wetu na kupeleka hela zote uswisi huku wachache wakiishi maisha ya peponi...harafu unakuta hao hao wanasimama kwenye majukwaa wakitwambia twende kanisani kuombea amani ya nchi! Kuna watu wanatufanya tuone kwamba umasikini ni mapenzi ya Mungu kitu ambacho si kweli. Kikwete anaona kabisa DOWANS wanatuibia na wale wahusika kashindwa kuwawajibisha...they have swindled billions in our name....Kikwete huyo huyo anasimama mbele ya TV anatwambia kwamba matatizo ya umeme yanatokana na kazi ya 'Mungu' kwa sababu mvua haipatikani. Twende kanisani/msikitini tukaombe mvua inyeshe tupate umeme!
I Masanja, I refuse to believe in this! Hardwork, determination and discipline will liberate you! I say and I do! Amen!
Ni kweli kwamba mgonjwa yeyote pamoja na wanaomjali hujaribu kupata tiba yoyote na kwa namna yoyote ili kutibu gonjwa linalomsumbua mgonjwa na jamii yake. Hata kama uwezo wa tiba hiyo haijathibitishwa, bado itatumika tu. Desparation inaweza kumfikisha mtu mzima na akili zake katika situations za ajabu kama simulizi za huko Loliondo.
Wiki mbili zimepita sasa tangu ndugu yangu mmoja yalipomkuta mikasa katika hospitali kubwa tu, Dar es Salaam. Katika hospitali ya kwanza alipewa rundo la mividonge baada ya kudundwa pia sindano nne za kuzuia maumivu na kutapika. Maabara wakasema iko malaria mbili.
Ilipobidi kwenda kwingine baada ya mgonjwa kuzidiwa, na pale wataalamu wakafanya mavipimo yao na kugundua malaria moja pamoja na kitu ingine, ati labda utumbo umejikunja!!! Very contradictory. Hospitali ya tatu (in 36 hours) hata kabla ya kufanya vipimo wakataka kumdundika QUININE 9 based on lab report ya wengine! Baada ya kukataa hayo na kusisitiza vipimo kamili, mgonjwa akakutwa hana malaria hata chembe moja ila alihitaji kuongezewa maji mwilini, kwa maana ilikuwa case ya dehydration!!! Huduma mbovu kama hizi haziwezi kuwa pendeleo la mgonjwa yeyote. Na hii ndo hali halisi unless upo uwezo wa kwend kwa makaburu pale Trauma Centre.
Ya Loliondo yawezekana kabisa kuwa siyo kipimo cha watu kujazwa UJINGA bali ni kile cha watu kukata tamaa na huduma mbovu katika nyanja mbalimabali.
Rundo la watu wanaomiminika kwa matumaini kwenda Loliondo si tukio la kwaida hata kidogo. Nini mindset ya watu wote hao kufuata NENO tu?
Je inawezekana ku-speculate kwamba ni matokeo ya kukata tamaa baada ya miaka 50 ya ubabaishaji wa mijizi ya MAFIA waliomo ndani ya CCM? Leo hii yule Babu mchungaji akiibukia kunadi sera za CDM kama dawa ya matatizo mengine ataitwa mhaini?
Lakini watu wana shuhudia kupona.
Wiki mbili zimepita sasa tangu ndugu yangu mmoja yalipomkuta mikasa katika hospitali kubwa tu, Dar es Salaam. Katika hospitali ya kwanza alipewa rundo la mividonge baada ya kudundwa pia sindano nne za kuzuia maumivu na kutapika. Maabara wakasema iko malaria mbili.
Ilipobidi kwenda kwingine baada ya mgonjwa kuzidiwa, na pale wataalamu wakafanya mavipimo yao na kugundua malaria moja pamoja na kitu ingine, ati labda utumbo umejikunja!!! Very contradictory. Hospitali ya tatu (in 36 hours) hata kabla ya kufanya vipimo wakataka kumdundika QUININE 9 based on lab report ya wengine! Baada ya kukataa hayo na kusisitiza vipimo kamili, mgonjwa akakutwa hana malaria hata chembe moja ila alihitaji kuongezewa maji mwilini, kwa maana ilikuwa case ya dehydration!!! Huduma mbovu kama hizi haziwezi kuwa pendeleo la mgonjwa yeyote.
mti huo majani yake ni chakula cha twiga toka enzi hizo(nenda kwa michuzi kuna habari zaidi)Nimesikia kuna mti anaotumia kutengeneza hiyo dawa,hivi ni kweli wajameni?