Mambo ya kwa Babu LOLIONDO

watanzania tunapenda sana kuishi.. hatutaki kusacrifice maisha yetu.... kama ni kufa tutakufa tu........ hadi jana mzee kashajikusanyia bilion 1.3...... great business


hebu sema tena kwa sauti nisikie......ridia mkuu
 
Nenda ukanywe dawa kwa babu acha ubishi watu wanashuhudia kupona.

Sio kila mtu anakalama....wachache wamebarikiwa

Kwa dunia ya sasa watu tunahitaji kuwa waangalifu na kutumia elimu yetu sawasawa! Katika ulimwengu wa kichwi wewe unafikiri hata kama ukipona unauhakika gani wa kuendelkea kuwa na uponyaji?? kuna uwezekano wa kupandikiziwa madudu mengine ambayo madhara yake ni hapo baadae!
 
nenda wala usirudi
 

Ingia ndani ya maandiko ya Mungu na uelewe nini maana ya karama! ukielewa maana ya karama hata hutasema karama hiyo! Kazi ya Mungu na zawadi zote za kiroho anazotupa Mungu zi wazi kwa watu wote na kwamba zinaweza kufanywa na mtu yeyote kama zimekubalika kwa Bwana! ndio maana mamlaka wapewa wote na formula iko wazi! Mungu ni mjinga hata aruhusu watu wafe wakiubiri mtu mmoja?? kama Mungu ametoa tiba kwanini asiongeze na wahudumu?? haoni??
 
Mods hii siyo breaking news, ibadilisheni, inapotezea muda watu na wakati kilichoandikwa ni uongo.
 
mh! Inachosha kwa kwel! Npo ar, kn wa2 km wa4 hv majiran zng walienda loliondo kwa ttzo la sukar, wamepta dawa hakn alyepona, wamerudia dawa zao za sukar. Celew inakuaje hapo.
 
mh! Inachosha kwa kwel! Npo ar, kn wa2 km wa4 hv majiran zng walienda loliondo kwa ttzo la sukar, wamepta dawa hakn alyepona, wamerudia dawa zao za sukar. Celew inakuaje hapo.

Wape ukweli ndugu yangu! Watu wanamacho lakini hawaoni wanamasikio lakini hawasikiii!
 
Tatizo apo ni umadrasa na kuogopa kusilimishwa kwa jina la YESU. Turudi kwenye mada, ivi Yesu alipomponya yule kifofu kwa tope la mate yake, alimpa sharti la kwenda kunawa uso wake popote tu hata nyumbani au kuna sehemu alimwambia aende?
 
Radio producer, mbona unazidi kutuaibisha?.
Tangu ile siku yako ya kwanza, umeingia jf kwa kutafuta kazi ya redio, eti umesoma sana!.
Kwa mtu wa redio kama wewe, hii ndio breaking news gani?.
Pasco.
 
hivi wewe radio producer .... ina maana wewe hutaki watu wapone....! kweli binadamu tupo tofauti
 
Kama ni kweli inaponya, ni vema huyo babu akaendele kuitoa mwenyewe na sio kuwapa wengine, maana watu hawatakawia kuichakachua!
 
dah loliondo loliondo mmmh imekuwa mwimbo wa taifa sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…