watanzania tunapenda sana kuishi.. hatutaki kusacrifice maisha yetu.... kama ni kufa tutakufa tu........ hadi jana mzee kashajikusanyia bilion 1.3...... great business
Nenda ukanywe dawa kwa babu acha ubishi watu wanashuhudia kupona.
Sio kila mtu anakalama....wachache wamebarikiwa
nenda wala usirudiHabari Za wandugu wa JF,
Nimeamini kuwa kilichosemwa na BIBLIA hakitabadilika hata kama ni kwanini.
1.WATU HAWA WANAMACHO LAKINI HAWAONI, WANAMASIKIO LAKINI HAWASIKII.
2. WENGI WATAKUJA KWA JINA LA MUNGU.
Tusibabaishwe na mganga wa Loliondo ukweli hakuna Mungu wa namna hiyo yeye angetumia tu jina la Mganga wa kienyeji sio Mungu unajua ni kwanini?
a. Dawa ya Mungu hainaga masharti, hata ukipewa sio masharti kama ya Loliondo eti hakuna mtu mwingine kukupa dawa hiyo ukanywa zaidi ya yeye peke yake swali: Watumishi wa Mungu Loliondo ni yeye peke yake? kama wengine wapo kwanini wasisaidiane? si kumpa tu mtu maji anakunywa??
b. Kwanini mti huo kama umefunuliwa na Mungu ukitumiwa na wengine usiponye?? Maana yake Mungu ameanza lini kutufundisha ubinafsi na uchoyo?
Nikomee hapa nitarudi! View attachment 24640
Yaani wewe ina maana hujui maana ya Breaking News?
Ndugu, ujue kuna kitu kinaitwa karama. Na karama ni tunu ya bure kutoka kwa Mungu anayopewa mtu kama Mungu atakavyo kwa faida ya wengi. Kwa hiyo basi huwezi kumlazimisha Mungu ampe kila mmoja karama hiyo. Huwezi sema kwa nini mchungaji huyo tu kapewa na si wengine? Mungu kaamua hivyo! Kasome vizuri maandiko.
nenda wala usirudi
Mods hii siyo breaking news, ibadilisheni, inapotezea muda watu na wakati kilichoandikwa ni uongo.
mh! Inachosha kwa kwel! Npo ar, kn wa2 km wa4 hv majiran zng walienda loliondo kwa ttzo la sukar, wamepta dawa hakn alyepona, wamerudia dawa zao za sukar. Celew inakuaje hapo.
Yaani wewe ina maana hujui maana ya Breaking News?
Radio producer, mbona unazidi kutuaibisha?.Habari Za wandugu wa JF,
Nimeamini kuwa kilichosemwa na BIBLIA hakitabadilika hata kama ni kwanini.
1.WATU HAWA WANAMACHO LAKINI HAWAONI, WANAMASIKIO LAKINI HAWASIKII.
2. WENGI WATAKUJA KWA JINA LA MUNGU.
Nikomee hapa nitarudi! View attachment 24640
Breaking News gani hii? A$$hole!