Mambo ya kwa Babu LOLIONDO

Mambo ya kwa Babu LOLIONDO

Jipeni moyo tu ,ooh Hiyo ni damu ya yesu-mtishamba ni damu ya yesu. mauti inawakaribia taratibu poleni sana enyi wenye shingo ngumu.

Mnashindwa kumtafuta mungu wa kweli awafunulie ju ya hiyo huduma,mmekezana tu kibabu,jamani sio nguvu ya mungu,ni roho nyingine hiyo. watu wataanza kufa taratibuuuu!

Mauti hayatakuja kwa wanaopata dawa kwa babu tu. Hata wanaopata hospitalini na hata wasioumwa kabisa labda mimi na wewe, wote tutafikia umauti...

Lakini kwanini watu wamelivalia njuga jambo hili? Kuna anayelazimishwa kwenda?

Au wasioenda ndio wasafi sana kiroho?

Na nani ametupa mamlaka ya kuhukumu?

Je kuna muumini anayelewa kila kitu JINSI Mungu anavyojidhirisha na kutenda kazi zake?

Ni kweli imeandikwa kuwa Shetani anaweza kugeuza GIZA ionekane kama NURU, na je wewe unayefikiri upo kwenye NURU una uhakika gani kwamba hiyo NURU sio GIZA lililogeuzwa?

Mimi nafikiri kwa vile hakuna aliyeshurutishwa kwenda hamna haja ya kucharurana kiimani hapa jamvini. Wanaotaka kwenda waende, wasiotaka waendelee na taratibu zao za ibada na maombi mbalimbali, huku wakiwaombea walioenda na wasioenda.
 
Abiria wanaosafiri kwenda Loliondo sasa wanasafirishwa kwa Fuso kutokana na magari madogo kukataa kwenda huko kutokana na mvua kubwa kunyesha na barabara kuharibika vibaya nilifika jana kwenye stand kuu ya mjini Arusha nilishuhudia Fuso 7 zikipakia abiria(wagonjwa) na kupangwa kama vile ng’ombe wanavyopangwa wakisafirishwa kutoka mikoani na kufikia saa 12 jioni fuso hizo zilikuwa zimeshajaza tayari kwa safari…Leo Asubuhi nimeshudia fuso 3 zikipakia na cha kushangaza Polisi walikuwa wakishuhudia tukio hilo la uvunjifu wa sheria nilijaribu kupiga picha watu walikuja juu wakitaka kunishambulia nikaona nisijetolewa uhai wakati nasubiria maandamano..Wanajamvi wenzangu ni lini serikali imeruhusu abiria kusafirishwa kwenye malori, je serkali imeshindwa kutoa msaada kwa abiria(wagonjwa) hawa?


Naomba kutoa hoja
 
watumie defender 4WD
Magari mengi ya tours ambayo yana 4WD yalikuwa yakienda huko lakini kasi yake imepungua huku watu wakizidi kuongezeka kuelekea kwa Babu..iko siku tutasikia watu wanapelekwa kwa Toyo...
 
dawa ya babu itazzua balaa kama tusipokuwa makini katika hili.

Haswa, sasa hawa wagonjwa wakipangwa hivyo si watakosa hewa na kuambukizana magonjwa mengine.
Mungu awanusuru hawa wagonjwa.
Lakini serikali inatakiwa kuchukua hatua na kuhakikisha barabara inapitika nyakati zote
 
hii ishu ya loliondo mi bado hajaniingia akilini kabisa

hivi watu wako desperate kiasi hicho?
Wacha niendelee kua Tomaso!
 
na wajinga ndio wapotezwao,wacha babu atengeneze noti azisanye za majuha,naskia anapata mpk ten milion for one days,akishachenj dola atayeyeka kiaina akafaidi mahelayake.
milion 20 kwa siku haiwezakani kwani antakiwa ahudumie wa2 20,000. hata kama ata2mia masaa 12 anatakiwa ahudumie takribani watu 28 kwa dakika moja, we unaweza? acha uzushi,,,,,,,,,,,,,
 
:juggle:NI SAA NA SADAKA MISIKITINI NAZO ZITOZWE KODI,AU SIO SAID
 
Mauti hayatakuja kwa wanaopata dawa kwa babu tu. Hata wanaopata hospitalini na hata wasioumwa kabisa labda mimi na wewe, wote tutafikia umauti...

Lakini kwanini watu wamelivalia njuga jambo hili? Kuna anayelazimishwa kwenda?

Au wasioenda ndio wasafi sana kiroho?

Na nani ametupa mamlaka ya kuhukumu?

Je kuna muumini anayelewa kila kitu JINSI Mungu anavyojidhirisha na kutenda kazi zake?

Ni kweli imeandikwa kuwa Shetani anaweza kugeuza GIZA ionekane kama NURU, na je wewe unayefikiri upo kwenye NURU una uhakika gani kwamba hiyo NURU sio GIZA lililogeuzwa?

Mimi nafikiri kwa vile hakuna aliyeshurutishwa kwenda hamna haja ya kucharurana kiimani hapa jamvini. Wanaotaka kwenda waende, wasiotaka waendelee na taratibu zao za ibada na maombi mbalimbali, huku wakiwaombea walioenda na wasioenda.

Mchango wako ni mzuri sana, asante sana nimefarijika sana!
 
Abiria wanaosafiri kwenda Loliondo sasa wanasafirishwa kwa Fuso kutokana na magari madogo kukataa kwenda huko kutokana na mvua kubwa kunyesha na barabara kuharibika vibaya nilifika jana kwenye stand kuu ya mjini Arusha nilishuhudia Fuso 7 zikipakia abiria(wagonjwa) na kupangwa kama vile ng'ombe wanavyopangwa wakisafirishwa kutoka mikoani na kufikia saa 12 jioni fuso hizo zilikuwa zimeshajaza tayari kwa safari…Leo Asubuhi nimeshudia fuso 3 zikipakia na cha kushangaza Polisi walikuwa wakishuhudia tukio hilo la uvunjifu wa sheria nilijaribu kupiga picha watu walikuja juu wakitaka kunishambulia nikaona nisijetolewa uhai wakati nasubiria maandamano..Wanajamvi wenzangu ni lini serikali imeruhusu abiria kusafirishwa kwenye malori, je serkali imeshindwa kutoa msaada kwa abiria(wagonjwa) hawa?


Naomba kutoa hoja

Pole Mkuu kwa kutaka kutolewa macho. Ukiona hayo yanatokea, ujue kuwa Serikali hakuna au imelala usingizi. Mpaka Chadema waseme ndo serikali itarudi kazini au kuamka usingizini!

Mandamano gani unasubili? kama ni ya chadeam, nambie nisogee
 
Pole Mkuu kwa kutaka kutolewa macho. Ukiona hayo yanatokea, ujue kuwa Serikali hakuna au imelala usingizi. Mpaka Chadema waseme ndo serikali itarudi kazini au kuamka usingizini!

Mandamano gani unasubili? kama ni ya chadeam, nambie nisogee

ni kweli wana jamii kuna malori zaidi ya matano yanaondoka kila siku na wagonjwa wanapangwa kama magunia ya mazao hii kweli ni udhalilishaji alafu bei 50000 swali je sumarta hawalioni hilo au serikali ya jk ipo wapi
 
Foleni ya huko ya magari sasa inazidi km 20. Lakini jaribu tu bahati yako
 
WanaJF niko safarini kwenda loliondo kwa babu. Kwa mshituko mkubwa napokea dondoo za gazeti la nipashe la kesho kupitia itv ya kuwa babu amesitisha huduma kwa muda. Kwa wenye undani wa hii maneno mnisaidie maana presha inapanda na inashukaaaa.
avatar yako na hayo maelezo kwa babu hata hayalingani.kwani wewe upo upande gani?au imani yako haba?
 
Hii issue imekaa kiserikali zaidi nafikiri...inawezekana kuna mtu ameshachukua cha juu kuruhusu hayo malori yaende...ukitaka kujua nenda na lori yako kama haija kamatwa na hao polisi...na shida kubwa ni kuwa watu wanashida na tiba kwasasa hawataangalia usafiri gani
 
mbunge wa Meatu akodi foso mbili kupeleka wapiga kura lolyondo,ni wa chama cha chadema,wpigakura walala nje ya ofisi chadema wakisubiri kuanza safari asubuhi.
21.march
 
Abiria wanaosafiri kwenda Loliondo sasa wanasafirishwa kwa Fuso kutokana na magari madogo kukataa kwenda huko kutokana na mvua kubwa kunyesha na barabara kuharibika vibaya nilifika jana kwenye stand kuu ya mjini Arusha nilishuhudia Fuso 7 zikipakia abiria(wagonjwa) na kupangwa kama vile ng'ombe wanavyopangwa wakisafirishwa kutoka mikoani na kufikia saa 12 jioni fuso hizo zilikuwa zimeshajaza tayari kwa safari…Leo Asubuhi nimeshudia fuso 3 zikipakia na cha kushangaza Polisi walikuwa wakishuhudia tukio hilo la uvunjifu wa sheria nilijaribu kupiga picha watu walikuja juu wakitaka kunishambulia nikaona nisijetolewa uhai wakati nasubiria maandamano..Wanajamvi wenzangu ni lini serikali imeruhusu abiria kusafirishwa kwenye malori, je serkali imeshindwa kutoa msaada kwa abiria(wagonjwa) hawa?


Naomba kutoa hoja
dU..hII ni mpya zaidi tena...sijastukia hii ya Landcruisers kukataa kwenda kwa babu!
Mbona kama ni FUSO hali itakuwa ngumu sana?...something needs to be done!
 
Back
Top Bottom