Mambo ya Linda Bezudenhout ndani ya USA


Me naona ungemuachaga tu alale.
Ama ka vipi jitoe tu muhanga umuombe msamaha af umuombe muonane.
Dizain nimebain unamkubali kimoyomoyo sema namna ya kuwa naye karibu ndo changamoto ama vipi?;-)
 
Matola umekuwa wa kuleta uzi wa namna hii? au ndomana pacha wako warumi kasusa kuanzisha nyuzi?
 
Last edited by a moderator:
huyu Matola utakuta ni mpenz mzuri wa taarab, manake kuleta uzi huu inathbitisha ni mshabiki mzuri wa mipasho.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…