Lara moja
Nafanyaje sasa? Kusema kilemba sijakipenda au? Hahahahaaa! Mbona mnataka kunichonganisha na mama wa 4 lakini? Wakati yuko down town Chicago anakula bataaa, baada ya mbonge wa Le party down town Atlanta kwenye mu appartment wa kufa mtu. Matola mbona hujaweka post ya perty ya down town? Au ndo kusema hujaiona au sababu hukualikwa ndo huweki? Weka bwanaaa!
PS! HAJAVAA LEMBA THIS TIME! HAHAHAAAAAAAAAAAAAAAA!
Hahahhaaaaaaaaaaaaa! Nife mara ngapi? Nishaoza siku nyingiii! Labda kama mna lingine.
Hakujakucha jamani
Mambo ya linda hayo weweee timu njiti lazima watie adabu
Sijakuona Rock City narudi zangu Dar leo nikapigwe na joto.
Nitachapwaaa mie aku,,uko poa lakiniii
Niko poa nimebanwa sana na majukumu.
Niko poa nimebanwa sana na majukumu.