Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naanza kuamini wanawake hampendani, ila vyovyote vile mwenzenu ndio kashatoboa.
Well, he likes you too.
He thinks you are pretty cool and decent.
*despite what I thought*
Despite is never followed with 'of', only 'in spite' is.
My signature is really effective in here...
Thank you....
najifunza kupitia makosa yangu..
She is used to A.SS KISSING AND A.SS LICKING OF THE HIGHEST ORDER! Sasa hapo nimemcritise au nime state my opinion baada ya mualiko maalumu wa Matola? Nimesema mimi Lara 1 huo mlemba haujanibariki nimeona umekuzeesha hayo ndo maoni yangu miaka 100000000. Ningemkosoa ningesema usivae kilemba bla blah blah of which sijasema avae asivae juu yake. lENGO LA KUMKOSOA MTU NI KMREKEBISHA MI WALA LENGO HILO SINA. Mi nimetoa tu mtizamo wangu wa mambo sasa watu kufosi mitizamo yetu ifanane ndo shughuli.
Signature yako inasemaje
Give a credit where it is due. There is a difference between a critic and a hater. Huwa naona a lot of haters wanapretend to be critics. Na hii ndo ipo kwa sana kwa wabongo. Critic huwa ana offer constructive criticism. Hater huwa anatoa ushauri sio kwa sababu anapenda kuboresha kazi ya anayemshauri bali ana lengo tu la kukuumbua kwa mwamvuli wa kukupa ushauri. You can tell the difference between the two kwa tone ya lugha wanayotumia wote wawili. Kuna watu they like to offer opinions katika masuala ambayo hawana uelewa nayo. Mara nyingi hawa ni haters ambao wanajifanya kuwa ni macritic kumbe they just say it ili kuonyesha kwamba fulani si chochote wala si lolote. Dada lara1 wewe ni mmoja wa watu ambao opinion zao ziko subjective to how they personally like mtu fulani na hawawezi kutoa comment bila kuwa overcrowded na feeling zao binafi bwa ha ha. Hiyo nimeona hata kwa bloggers wengi wa kibongo. Don't attack me I am just analysing things
Give a credit where it is due. There is a difference between a critic and a hater. Huwa naona a lot of haters wanapretend to be critics. Na hii ndo ipo kwa sana kwa wabongo. Critic huwa ana offer constructive criticism. Hater huwa anatoa ushauri sio kwa sababu anapenda kuboresha kazi ya anayemshauri bali ana lengo tu la kukuumbua kwa mwamvuli wa kukupa ushauri. You can tell the difference between the two kwa tone ya lugha wanayotumia wote wawili. Kuna watu they like to offer opinions katika masuala ambayo hawana uelewa nayo. Mara nyingi hawa ni haters ambao wanajifanya kuwa ni macritic kumbe they just say it ili kuonyesha kwamba fulani si chochote wala si lolote. Dada lara1 wewe ni mmoja wa watu ambao opinion zao ziko subjective to how they personally like mtu fulani na hawawezi kutoa comment bila kuwa overcrowded na feeling zao binafi bwa ha ha. Hiyo nimeona hata kwa bloggers wengi wa kibongo. Don't attack me I am just analysing things
hata mi nimeona Lara 1 anakitu zaidi maana lugha anayotumia sio ya kumrekebisha mtu ni kukosoa tena kwa chuki.
linda linda tuuuu
I am just an observer. Usimaindi sana Dada. Jamii forums is just a fictional life. Kila mtu kajitengenezea character yake but in real life kila mtu yupo kivingine.I AM NOT BIASED BUT I JUST DIDNT LIKE THE TURBAN! That is all!![]()
My signature is really effective in here...
I am just an observer. Usimaindi sana Dada. Jamii forums is just a fictional life. Kila mtu kajitengenezea character yake but in real life kila mtu yupo kivingine.
Hahahahaaa! Sasa ulitaka awe nani? Malaka ama nene? Sazingine nabakia kucheka tu kwa masikitiko, shabiki maandazi unatiwa amira kijiko unaumuka bezeni zima! Hahahahaaaaaa!
awe linda
mashallah lindaaaa