Mambo ya Linda Bezudenhout ndani ya USA

Mambo ya Linda Bezudenhout ndani ya USA

Hahahaaa! Linda la nguo au la koh koh koh, sketi ya shuleeee? Hapo umeumuka mpaka kwenye beseni umepita sahivi unaenda kujaza simtank! Hahahaaaa!
hamna siwezi kuumuka kwa vtu vidogo hv
 
She is beautifull na kazi nzuri ila the dress is too much busy
 
Naanza kuamini wanawake hampendani, ila vyovyote vile mwenzenu ndio kashatoboa.

nyie wanaume mnapendana?....au ndio mmezoea tu kusema hivi? ivi nyinyi huwa hampishanagi maneno? inamaana wanaopenda huwa hawatofautiani kwa lolote?
 
Again I told you I wanted to look different. The HEADWRAP was supposed to be bigger than that. Plus I dressed an international model at the event and one of my dresses was auctioned ..... So Both dresses had Hollywood type of dresses I dint want to look like any of them.... I didn't want to compete with my own designs. So by going African I gave them the best of both words, I LOOKED SO MAJESTIC PLUS FOR YOUR INFORMATION I ALWAYS TALK ABOUT MY KIDS AND HUSBAND EVERYWHERE I GO.

SO I HATE TO TELL YOU NO ONE BELIEVED I HAVE 4 CHILDREN and when I told them my first born is 20 they got even more shocked. So I don't know why you keep saying I looked old, somebody very famous even asked me if I was born with my kids like if I came to the world with my kids coz he just couldn't believe I was a mother of 4. And you do not know anything about fashion....

You keep saying I should have worn one of my other designs. Listen Woman I love to give people the UNEXPECTED WHY SHOULD I DRESS WHAT IS OUT THERE ALREADY???????. WHEN I AM A COUTURIST I AM AN AWARD WINNING DESIGNER HONEY.

I AM AN ARTIST AND THATS WHAT YOU GET FROM ME..... YOU WILL NEVER GET THE USUAL FROM ME STAY TUNED FOR MORE SURPRISES.....

LISTEN I JUST CAME FROM BERVERLY HILLS CA. ( if you know what I mean) I AM NOT SUPPOSED TO ARGUE WITH HATERS OR PEOPLE WHO DONT UNDERSTAND WHAT THEY ARE SAYING....I TRIED TO EDUCATE YOU IF ITS NOT GETING IN UR HEAD THATS UR PROBLEM NOT MINE duecessssssss✌️✌️✌️✌️✌️✌️.

Mama la mama achana nae huyo.Nahisi ni kibaraka wa mtaa wa pili kule kwa mama maronya ronya.Mwenzao kafulia nyodo zote zimemuisha wafuasi wake wamebaki wanajitutumua kucriticize vitu ambavyo kiukweli walitakiwa tu kusifia.Fanya yako.Asipokupenda huyo sisi tunakupenda tu.Kwanza hakuna designer wala fundi cherehani yoyote mtanzania aliewahi kumvalisha staa wa mbele let alone kukanyaga red carpet ya big event kama Oscars.babuuu weee wataumwa sanaaaa na mwaka huu India itawahusu maana kwa bongo dawa yao hawatoipata mmmxxxxiiiieeeww!!!!
 
Mama la mama achana nae huyo.Nahisi ni kibaraka wa mtaa wa pili kule kwa mama maronya ronya.Mwenzao kafulia nyodo zote zimemuisha wafuasi wake wamebaki wanajitutumua kucriticize vitu ambavyo kiukweli walitakiwa tu kusifia.Fanya yako.Asipokupenda huyo sisi tunakupenda tu.Kwanza hakuna designer wala fundi cherehani yoyote mtanzania aliewahi kumvalisha staa wa mbele let alone kukanyaga red carpet ya big event kama Oscars.babuuu weee wataumwa sanaaaa na mwaka huu India itawahusu maana kwa bongo dawa yao hawatoipata mmmxxxxiiiieeeww!!!!

You always make me laugh segito wa kalenga!
Hahahaaa kuna comment yako moja hivi mpaka leo sitoisahau aiseeee
 
Last edited by a moderator:
Tangazo la Event ilikuwa tarehe 22 na publish ya yaliojiri imetoka tarehe 23.

Una lingine?
linda namkubali sana
kila nikimwangalia najiuliza kwa nini marytina naonekana mzee wakati linda kanipita zaidi ya miaka kumi anachanua
 
long time ago, alikuwaga HOMA YA JIJI. Enzi hizo za 1980s na 1990s waliokula bata enzi hizo nani asimjue Linda wa Makongoro, Linda Mburushiiiii??????????? Nani mjini humuuuu? LAKINI KAMA UJUAVYO THINGS FALL APART! Sahivi mwanae mmoja anakuja juu yuko vizuri anaitwa Leila Makongoro, kitu 20, 21 hiviii ndo zama zake hizi.

Mchongo alikuwa nao sema ulikuwa unanyonya wakati yeye anaendesha jiji.

Owk sasa nimefahamu kumbe mlikuwa naye toka ujanani.
Ila kakutenda nn coz yan sijui kwa nn unafanyiaga hivyo.
 
Owk sasa nimefahamu kumbe mlikuwa naye toka ujanani.
Ila kakutenda nn coz yan sijui kwa nn unafanyiaga hivyo.

Nafanyaje sasa? Kusema kilemba sijakipenda au? Hahahahaaa! Mbona mnataka kunichonganisha na mama wa 4 lakini? Wakati yuko down town Chicago anakula bataaa, baada ya mbonge wa Le party down town Atlanta kwenye mu appartment wa kufa mtu. Matola mbona hujaweka post ya perty ya down town? Au ndo kusema hujaiona au sababu hukualikwa ndo huweki? Weka bwanaaa!

PS! HAJAVAA LEMBA THIS TIME! HAHAHAAAAAAAAAAAAAAAA!
 
Back
Top Bottom