Mambo ya mazoea ila majibu changamoto

Mambo ya mazoea ila majibu changamoto

Mkanganyiko kukanganya

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2022
Posts
1,204
Reaction score
5,053
Memba wote nawasalimu sana, moja kwa moja kuna mambo machache ambayo ni yakwaida ila yananitatiza kwa kutokujua maana zake, mwenye kuelewa anisaidie, Ni hivi unakuta

1) Mara nyingi naona majengo makubwa yakiwa katika hatua za ujenzi uzungushiwa mabati au gorofa kufunikwa kwa vitambaa. Je, ni kwann wanafanya hivyo?

2) Kwa mfano pesa kusafirishwa toka benk kuu Arusha kupelekwa B.O.T kwa ulinzi kusindikiza ile fuso ikiwa imelemewa pesa, kwanini wasitumie ndege, kuokoa muda na usalama?

3) Marehemu kwanini kabla ya kuzikwa anaingizwa ndani kwake, kwanini asiishie nje kuagwa na kuzikwa?
Nyumba itavunjwa hata mlango mpk jeneza liingie!

Wakuu kama unalako ambalo huelewi washirikishe wajuvi watueleweshe.

Shukrani kwako
 
Namba 1.

Kuzungushia mabati ama uzio kwnye site inayojengwa ni kwa sababu za kiusalama na kutoingilina na shughuli ambazo ni tofauti na hapo site pia inapunguza ufujaji wa stocks zilizopo na hizo net sio kama za kuzuia mbu kitandani ni neti ngumu nazo ni kwa sababu ya usalama yaani udogo ama tofali au nyundo ama karai lisije kumponyoka mtu likatua juu ya kichwa cha mtu ama nyumba za jirani au hata gari.
 
Namba 1.

Kuzungushia mabati ama uzio kwnye site inayojengwa ni kwa sababu za kiusalama na kutoingilina na shughuli ambazo ni tofauti na hapo site pia inapunguza ufujaji wa stocks zilizopo na hizo net sio kama za kuzuia mbu kitandani ni neti ngumu nazo ni kwa sababu ya usalama yaani udogo ama tofali au nyundo ama karai lisije kumponyoka mtu likatua juu ya kichwa cha mtu ama nyumba za jirani au hata gari.
Shukrani kwako mkuu angalau nimpeta mwanga
 
Majibu namba 3.

Heshima kwa marehemu kuingiza mwili wake ndani ni kuheshimu jitihada zake. Heshima ya mtu ni pale anapokuwa na makazi rasmi hasa akiwaacha wazazi na kuambatana na mwenzi wake wa maisha.
Tunachukulia kwamba tumemjua mtu, harakati zake akiwa hai lakini amekuwa hivyo alivyo kutokana na mawazo anayopata pale akiwa amepumzika nyumbani kwake. Wote tunajua ya kuwa tukiwa tumelala tunautafuta usingizi ndo mawazo ya nini nifanye nitimize kipi ndio huja wakati uko ndani kwako.
Nb kama mtu hakuanza kujitegemea yaani ajenge nyumba hata kama alipanga basi maiti yake inaingizwa nyumba ya wazazi wake.

Samahani nimejibia kwa uzoefu wa kwetu sisi WAHEHE.
 
Majibu namba 3.

Heshima kwa marehemu kuingiza mwili wake ndani ni kuheshimu jitihada zake. Heshima ya mtu ni pale anapokuwa na makazi rasmi hasa akiwaacha wazazi na kuambatana na mwenzi wake wa maisha.
Tunachukulia kwamba tumemjua mtu, harakati zake akiwa hai lakini amekuwa hivyo alivyo kutokana na mawazo anayopata pale akiwa amepumzika nyumbani kwake. Wote tunajua ya kuwa tukiwa tumelala tunautafuta usingizi ndo mawazo ya nini nifanye nitimize kipi ndio huja wakati uko ndani kwako.
Nb kama mtu hakuanza kujitegemea yaani ajenge nyumba hata kama alipanga basi maiti yake inaingizwa nyumba ya wazazi wake.

Samahani nimejibia kwa uzoefu wa kwetu sisi WAHEHE.
Bila samahani! Uko sahihi
 
Memba wote nawasalimu sana, moja kwa moja kuna mambo machache ambayo ni yakwaida ila yananitatiza kwa kutokujua maana zake, mwenye kuelewa anisaidie, Ni hivi unakuta

1) Mara nyingi naona majengo makubwa yakiwa katika hatua za ujenzi uzungushiwa mabati au gorofa kufunikwa kwa vitambaa. Je, ni kwann wanafanya hivyo?

2) Kwa mfano pesa kusafirishwa toka benk kuu Arusha kupelekwa B.O.T kwa ulinzi kusindikiza ile fuso ikiwa imelemewa pesa, kwanini wasitumie ndege, kuokoa muda na usalama?

3) Marehemu kwanini kabla ya kuzikwa anaingizwa ndani kwake, kwanini asiishie nje kuagwa na kuzikwa?
Nyumba itavunjwa hata mlango mpk jeneza liingie!

Wakuu kama unalako ambalo huelewi washirikishe wajuvi watueleweshe.

Shukrani kwako
namba moja lishajibiwa na ila namba tatu naomba ndug yang Mshana Jr ulijibu
 
Back
Top Bottom