mambo ya Mnyika

mambo ya Mnyika

FarLeftist

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2010
Posts
363
Reaction score
20
chadema.jpg
 
t shirt ccm......bango chadema......:A S-confused1:
 
Du!
Ndiyo ile ya "kula CCM.....kura CDM" au??
 
hii inajibu suali la kwa nn slaa alipata kura chache ingawa wabunge walikuwa wengi
 
hii inajibu suali la kwa nn slaa alipata kura chache ingawa wabunge walikuwa wengi

Inakujibu wewe kuficha uchakachuaji. TAKWIMU ZA UCHAKACHUAJI ZIPO WAZI NA KAMA WEWE HUKUHUSIKA KUCHAKACHUA BASI NI JAMAA YAKO HUYO WA KARIBU YAKO
 
he...haya mambo jmani.........badala ya kumfuatilia yulemtu aliyekuwa amebeba bango na kumuuliza alimaanisha kitu gani nyie mnamshambulia mnyika why?.................siamini km mnyika anaweza kuwa msaliti km zittoaliyenunuliwa na mafisadi wakiwemo ccm kikwete rostamu na lowasa
 
Hiyo unakula kotekote bana kwani nini, kwanza sio sumu.
 
Hii imerudi tena!!!!! au kampeni zimeanza upya?
 
Blue guard wapo,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,je green guard,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,alitumwa?
 
Mambo ya kutokuwa na misimamo ndio yametufikisha hapa! Kijiweni CDM kwenye kupiga kura unatupa kura yako CCM!
 
Back
Top Bottom