Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,630
- 4,253
Huyu bwana anajutia kua katika hii sherehe kwa kisingizio cha kampeni!...Mombasa patamu aisee.
Tizama video mwenyewe!
Tizama video mwenyewe!
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka link, kwani wengine twaona ni peusi tu hakuna icon yoyote inayoonekana ili nibonyeze nami nifurahie mipasho. Please weka link jamani.
Ma'Mdogo labda ni mashine yako...mbona hapa nilipo naona wanawake wameshikilia sigara na vi-begi vya mirungi jamani?
Unakosa uhondo maana kuna kina mama humo ndani 'wanabwaga manyanga' ile mbaya...lol!
chungulia hapa..... sul - YouTube
Duuuuuuuuuuuuuuuuuuh aisee hii kitu si mchezo. Mbona inaonekana ilikuwa ni only ladies event, sasa jamaa alifuata nini?
Sasa mwalimu Ab-Titchaz kwani Mambasa si iko Kenya? Na miraa si kharamu kwa mujibu wa sheria za nchi....! Hata sigareti pia...
Sio dawa za kulevya atii...:A S shade:
Pamekosekana ulevi wa pombe!
Mkuu,
from a religious perspective, hio yote ni haram!
....karibu Mombasa!
Huyu bwana anajutia kua katika hii sherehe kwa kisingizio cha kampeni!...Mombasa patamu aisee.
Tizama video mwenyewe!