MAMBO YA MSINGI KABLA YA KUINGIA KATIKA FOREX TRADING
Ajira ni changamoto na tatizo linalokuwa siku hadi siku.Miongoni mwa vijana na watu wengi wamejiingiza katika biashara ya forex.JE HII AJIRA INALIPA?.Jibu langu ni NDIO na vile vile HAPANA.
Kwa wasiojua maana ya Forex trading, hii ni biashara inayohusisha ubadilishani wa pea za shilingi mfano EUR/USD ,USD/TSH n.k .Utaratibu unaotumika ni kwamba unanunua shilingi fulani na kuiuza thamani yake inapoongezeka.Hii inachangia uchumi unabadilika badilika kila nukta.
Vijana wengi wameingia kwenye hii biashara kwa ushawishi wa kupata pesa kwa muda mfupi.Matokeo yake wengi wao wameishia kupoteza pesa zao.Ni kweli kabisha biashara ya forex inalipa ila tu ukiifanya kwa malengo na utaratibu.Tuzungumzie mambo ya msingi kabla ya kuanza kufanya forex trading.
1.ELIMU ELIMU ELIMU
Hii ndio sehemu ya msingi,pata elimu ya kutosha kuhusu forex.Baadhi ya vijana wamegeuza fursa kwa kuwafundisha elimu ya forex kwa kutoza pesa,elimu ambayo inatolewa bure kabisa.Kwa mtazamo wangu haifai kulipia mtu akufundishe forex,kuna vitabu vingi sana na online courses zinazofundisha forex trading.Kabla ya kuanza trading hakikisha umeelewa kila kitu kuhusu forex trading.
2.AKAUNTI YA MAJARIBIO
Baada ya kupata uelewa wa kutosha kuhusu forex, kinachofuata ni kutafuta trial account kwa kufanya majaribio.Ukiweza kutengeneza faida kwenye trial account ndio weka pesa uanze kufanya biashara.
3.CHAGUA BROKER WA UHAKIKA
Biashara zote za fx zinafanyika kupitia brokers. Hapa chagua broker wa uhakika ambaye anakidhi vigezo vyako.Ukichagua broker asiye wa uhakika lazima ujutie kujua forex trading. Angalia vitu kama anatoa leverage zipi? Je ana stop loss? Minimum deposit/withdrawal? Anatoa education about forex? Je ana social trading?.
4.MTAJI
Mwisho kabisa,forex trading inahitaji uwe na mtaji kuona faida.Unaweza anza na mtaji mdogo, ila kuona faida kubwa labda utumie leverage. Mtaji mkubwa kwenye forex ndio utaona matunda yake.
Ushauri wangu kwa vijana ,fx sio biashara ya kukariri na usitegemee anayekufundisha atakufanya upate faida kubwa.Suala ni kupambanua mawazo yako,soma vitabu ,pata ushauri na pia jaribu vitu vipya.Usipozingatia hayo forex itakuwa kama moto kwako.
Kwa habari na taarifa za ujasiriamali ,jiunge nasi kupitia telegram ,kupitia link hapo chini
UJASIRIAMALI
Ajira ni changamoto na tatizo linalokuwa siku hadi siku.Miongoni mwa vijana na watu wengi wamejiingiza katika biashara ya forex.JE HII AJIRA INALIPA?.Jibu langu ni NDIO na vile vile HAPANA.
Kwa wasiojua maana ya Forex trading, hii ni biashara inayohusisha ubadilishani wa pea za shilingi mfano EUR/USD ,USD/TSH n.k .Utaratibu unaotumika ni kwamba unanunua shilingi fulani na kuiuza thamani yake inapoongezeka.Hii inachangia uchumi unabadilika badilika kila nukta.
Vijana wengi wameingia kwenye hii biashara kwa ushawishi wa kupata pesa kwa muda mfupi.Matokeo yake wengi wao wameishia kupoteza pesa zao.Ni kweli kabisha biashara ya forex inalipa ila tu ukiifanya kwa malengo na utaratibu.Tuzungumzie mambo ya msingi kabla ya kuanza kufanya forex trading.
1.ELIMU ELIMU ELIMU
Hii ndio sehemu ya msingi,pata elimu ya kutosha kuhusu forex.Baadhi ya vijana wamegeuza fursa kwa kuwafundisha elimu ya forex kwa kutoza pesa,elimu ambayo inatolewa bure kabisa.Kwa mtazamo wangu haifai kulipia mtu akufundishe forex,kuna vitabu vingi sana na online courses zinazofundisha forex trading.Kabla ya kuanza trading hakikisha umeelewa kila kitu kuhusu forex trading.
2.AKAUNTI YA MAJARIBIO
Baada ya kupata uelewa wa kutosha kuhusu forex, kinachofuata ni kutafuta trial account kwa kufanya majaribio.Ukiweza kutengeneza faida kwenye trial account ndio weka pesa uanze kufanya biashara.
3.CHAGUA BROKER WA UHAKIKA
Biashara zote za fx zinafanyika kupitia brokers. Hapa chagua broker wa uhakika ambaye anakidhi vigezo vyako.Ukichagua broker asiye wa uhakika lazima ujutie kujua forex trading. Angalia vitu kama anatoa leverage zipi? Je ana stop loss? Minimum deposit/withdrawal? Anatoa education about forex? Je ana social trading?.
4.MTAJI
Mwisho kabisa,forex trading inahitaji uwe na mtaji kuona faida.Unaweza anza na mtaji mdogo, ila kuona faida kubwa labda utumie leverage. Mtaji mkubwa kwenye forex ndio utaona matunda yake.
Ushauri wangu kwa vijana ,fx sio biashara ya kukariri na usitegemee anayekufundisha atakufanya upate faida kubwa.Suala ni kupambanua mawazo yako,soma vitabu ,pata ushauri na pia jaribu vitu vipya.Usipozingatia hayo forex itakuwa kama moto kwako.
Kwa habari na taarifa za ujasiriamali ,jiunge nasi kupitia telegram ,kupitia link hapo chini
UJASIRIAMALI