Perfectz
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 9,045
- 28,216
___________________________________
JITIBU NYUMBANI KWAKO
KIUNGULIA
[emoji116][emoji116] Aliyepatwa na kiungulia ale nyanya 1 asubuhi na jioni1 kitaondoka In shaa Allah
KUZUIA KUHARISHA
[emoji116][emoji116] Kamua maji ya chungwa lita1 Kunywa glass1 kutwa mara 3 Kuharisha kutakata in shaa Allah
HAMU YA KULA
[emoji116][emoji116] Andaa juice ya machungwa usichanganye na chochte Kunywa glass moja siku mara3 mpk iishe Hamu ya kula itakuja in shaa Allah
KIDONDA SUGU(kisichosikia dawa)[emoji116][emoji116] Yaponde maua ya mchungwa mpaka yawe laini kisha weka kwenye kidonda baada ya kukiosha kitapona in shaa Allah
MAGONJWA YA NGOZI
[emoji116][emoji116] Osha sehemu iliyoathirika ponda maua ya mchungwa na pakaa sehemu iliyoathirka kutwa mara 2 patapona inshaa Allah
MAPUNYE NA FANGASi
[emoji116][emoji116] Chukua majani laiini ya mchungwa yaponde mpk yalainike kisha pakaa palipoathirika
VIDONDA VYA TUMBO
[emoji116][emoji116] Anika maganda ya parachichi mpaka yakauke vizuri Yatwange upate unga Chota unga huo vijiko viwili changanya na asali safi vijiko viwili kula asubuhi na jioni kwa wiki1
NGUVU ZA KIUMENI
[emoji116][emoji116] vijiko3 vya unga wa parachichi Vijiko2vya unga wa hiriki vijiko3vya asali safi Changanya kwenye glass1 ya maziwa kunywa asubuhi na jioni
TUMBO LA HEDHI
[emoji116][emoji116] Chemsha majani ya mparachichi Kunywa glass1 asubuhi na jioni siku7 litapona In shaa Allah
ANAYEKOJOA KITANDANI
[emoji116][emoji116] Chemsha ndevu za mahindi anywe kikombe cha chai asubuhi na jioni $iku3-7
MATATIZO YA FIGO
[emoji116][emoji116] Chemsha ndevu za mahindi chuja kunywa kikombe cha chai kutwa mara 3 siku 11-21
ASIYEONA VIZURI
[emoji116][emoji116] Achemshe mizizi ya mahindi chuja kunywa glass1 Kutwa mara 2 kwa siku3
MALARIA
[emoji116][emoji116] Chukua ndimu7,zikamue kwenye glass Andaa glass1 ya maji ya dafu Changanya kunywa kutwa mara2 mpk upone in shaa Allah
KUTOA SUMU MWILINI
[emoji116][emoji116] Kunywa nusu glass ya maji ya.ndimu kila mwezi kwa muda wa miezi 2 sumu itaondoka mwlini in shaa Allah _____________________________________
JITIBU NYUMBANI KWAKO
KIUNGULIA
[emoji116][emoji116] Aliyepatwa na kiungulia ale nyanya 1 asubuhi na jioni1 kitaondoka In shaa Allah
KUZUIA KUHARISHA
[emoji116][emoji116] Kamua maji ya chungwa lita1 Kunywa glass1 kutwa mara 3 Kuharisha kutakata in shaa Allah
HAMU YA KULA
[emoji116][emoji116] Andaa juice ya machungwa usichanganye na chochte Kunywa glass moja siku mara3 mpk iishe Hamu ya kula itakuja in shaa Allah
KIDONDA SUGU(kisichosikia dawa)[emoji116][emoji116] Yaponde maua ya mchungwa mpaka yawe laini kisha weka kwenye kidonda baada ya kukiosha kitapona in shaa Allah
MAGONJWA YA NGOZI
[emoji116][emoji116] Osha sehemu iliyoathirika ponda maua ya mchungwa na pakaa sehemu iliyoathirka kutwa mara 2 patapona inshaa Allah
MAPUNYE NA FANGASi
[emoji116][emoji116] Chukua majani laiini ya mchungwa yaponde mpk yalainike kisha pakaa palipoathirika
VIDONDA VYA TUMBO
[emoji116][emoji116] Anika maganda ya parachichi mpaka yakauke vizuri Yatwange upate unga Chota unga huo vijiko viwili changanya na asali safi vijiko viwili kula asubuhi na jioni kwa wiki1
NGUVU ZA KIUMENI
[emoji116][emoji116] vijiko3 vya unga wa parachichi Vijiko2vya unga wa hiriki vijiko3vya asali safi Changanya kwenye glass1 ya maziwa kunywa asubuhi na jioni
TUMBO LA HEDHI
[emoji116][emoji116] Chemsha majani ya mparachichi Kunywa glass1 asubuhi na jioni siku7 litapona In shaa Allah
ANAYEKOJOA KITANDANI
[emoji116][emoji116] Chemsha ndevu za mahindi anywe kikombe cha chai asubuhi na jioni $iku3-7
MATATIZO YA FIGO
[emoji116][emoji116] Chemsha ndevu za mahindi chuja kunywa kikombe cha chai kutwa mara 3 siku 11-21
ASIYEONA VIZURI
[emoji116][emoji116] Achemshe mizizi ya mahindi chuja kunywa glass1 Kutwa mara 2 kwa siku3
MALARIA
[emoji116][emoji116] Chukua ndimu7,zikamue kwenye glass Andaa glass1 ya maji ya dafu Changanya kunywa kutwa mara2 mpk upone in shaa Allah
KUTOA SUMU MWILINI
[emoji116][emoji116] Kunywa nusu glass ya maji ya.ndimu kila mwezi kwa muda wa miezi 2 sumu itaondoka mwlini in shaa Allah _____________________________________