Mambo ya Nyakati: Mbatia, Prof Lipumba, Maalim Seif na Mrema watarejea CCM kabla ya Uchaguzi Mkuu. CHADEMA itabaki kwa mzee Mtei

Huko kujioambanua kwa cdm ni kwa jasho na akili nyingi
Ila wataonja kifungo kwanza ndipo wakubalike wapinzani wa kweli au kukosa ruzuku kabisa kwa miaka 10 wakifaulu hayo watabakia milele na kuongoza serikali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vyama ni mali ya wanachama,hata viongozi wa vyama wakinunuliwa viongozi wengine kutoka miongoni mwawanachama wataibuka, na mwendelezo wa kuisotesha CCM utaendelea vilevile.

Makaburu wa africa ya kusini waliamini kuwa kuwaua viongozi waliokuwa wanawapigania watu weusi kutawaletea unafuu,lakini ndio kwanza wakimuua mmoja wanazaliwa watetezi 100 na msoto kwa makaburu unakuwa mkubwa zaidi nafuu uliopita.mwisho wake makaburu wamewekwa benchi kama mbwa wanaosubiri huruma ya kurushiwa mfupa wakati walikuwa wanakula minofu.
 

Hivi mzee Mtei alibariki ujio wa Lowassa??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…