maswali ambayo ni wenye utambuzi pekee hujiulizaJe wakishajiunga na ccm deni la taifa litapungua, wanaodai pesa ya korosho watalipwa, bei ya mbaazi na pamba itatengamaa, ajira zitapatikana?
CCM nakuapia itakuwa kama KANU in the near futureChadema itabaki kwenye makumbusho ya mzee Mtei!
Ni hadi mtakapoitenganisha na Dola kitu ambacho hata Wachina wameshindwa huko kwao!CCM nakuapia itakuwa kama KANU in the near future
Ukizisoma vizuri hizi nyakati utagundua hakuna fursa tena ya Upinzani mamboleo ule unaotegemea " hisani" ya ruzuku ili chama na viongozi wake waweze kuishi.
Unaweza kujiuliza kwanini maalimu Seif alialikwa Ikulu na yeye siyo kiongozi wa ACT wazalendo?
Halafu iangalie vizuri historia ya Prof Lipumba na James Mbatia katika siasa za Tanzania. Kisha jikumbushe namna Nccr mageuzi na Cuf zilivyoasisiwa na namna mzee Mapalala rip alivyokimbizwa chamani na maalimu Seif.
Yuko wapi mzee Marando wa Nccr mageuzi aliyehamia Chadema? Je baada ya bunge kuvunjwa Joseph Selasini atabakia Chadema?...... Prof Baregu je? na Prof Safari?
Kwa kifupi ni kwamba robo karne ya Upinzani mamboleo imefikia tamati, Chadema itabaki na mzee Mtei lakini Lyatonga Mrema, mzee Cheyo, mzee Shibuda wote hawa watarejea CCM where they belong.
Kisha vipimo vitamwelekea Zitto Kabwe wa ACT wazalendo kama ni mpinzani wa kizazi kipya au ndio walewale. Ikumbukwe wakati upinzani unaasisiwa Zitto alikuwa bado ni mtoto kwa mujibu wa sheria za nchi.
Nawatakia Kwaresma yenye baraka
Maendeleo hayana vyama!
Wale wasakatonge walishajifia!CCK na CCJ zitakuwa upande upi?
12/4Kwaresma inaisha lini?
CCM ndio Dola yenyewe bwashee!Bwashee sasa kama mna mikakati mikali namna hiyo mbona bado mnaringia kubebwa na dola!
Sent using Jamii Forums mobile app
time will tell!Ni hadi mtakapoitenganisha na Dola kitu ambacho hata Wachina wameshindwa huko kwao!
Alibariki baada ya mjadala mrefu na rip Ndesamburo!Hivi mzee Mtei alibariki ujio wa Lowassa??
Ndio maana watawala wanatumia " akili kubwa" bwashee!time will tell!
Na china is a matter of time. Unadhani hao watu 1 bn wali revolt watawala watasimama!
Sijakupata manka!
Tumuamini yupi kati ya hao viongoziSijakupata manka!
Wewe muamini Dr Bashiru maana anaunena ukweli mchungu!Tumuamini yupi kati ya hao viongozi
Unamaana mengine yanayotamkwa na Rais wetu tuyadharau?Wewe muamini Dr Bashiru maana anaunena ukweli mchungu!
Rais ni taasisi manka!Unamaana mengine yanayotamkwa na Rais wetu tuyadharau?