Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
japo kila mtu yupo huru kuanzisha thread humu wakati wowote naomba tufanye kitu kimoja
hapa tutapost mambo mbalimbali madogo yanayotokea majumbani kwetu,mfano chakula,sabuni za kufulia,dawa nzuri ya mbu, una allergy gani.msosi mzuri etc
kwa kuanzia na story yangu ya kwanza
mimi nina issue moja yaani kwanza napenda sana kupika japo mimi sio mpishi bora nyumbani kwetu ,ila najitahidi. ila tatizo langu moja jikoni napenda kuonja nyamaa yaani kama napika nyama kilo ujue robo nitaila huko jikoni hilo jambo nadhani ndo limenifanya maisha yangu nisijue kitu wembamba nakumbuka kuna wakati nipo darasa la tano nilipimwa uzito nikawa na kilo 55. natamani kuacha tabia ya kuonja onja msosi ila siwezi .huwa nashangaa kuna mtu anaweza kupika eti mwanzo mwisho haonji hata chumvi .yaani mimi naweka chumvi hata mara kumi kidogo kidoogo maana sipendi chumvi nyingi kuharibia watu mood ya kula .sasa kila nikiweka chumvi naonja kiukweli kama ni wali kijiko nile kabisa nisikilizie .
hyo ni namba moja leteni story zenu na nyie tushauriane
mods naombeni mpeleke jukwaa husika nimeshindwa kujua niweke wapi samahanini
hapa tutapost mambo mbalimbali madogo yanayotokea majumbani kwetu,mfano chakula,sabuni za kufulia,dawa nzuri ya mbu, una allergy gani.msosi mzuri etc
kwa kuanzia na story yangu ya kwanza
mimi nina issue moja yaani kwanza napenda sana kupika japo mimi sio mpishi bora nyumbani kwetu ,ila najitahidi. ila tatizo langu moja jikoni napenda kuonja nyamaa yaani kama napika nyama kilo ujue robo nitaila huko jikoni hilo jambo nadhani ndo limenifanya maisha yangu nisijue kitu wembamba nakumbuka kuna wakati nipo darasa la tano nilipimwa uzito nikawa na kilo 55. natamani kuacha tabia ya kuonja onja msosi ila siwezi .huwa nashangaa kuna mtu anaweza kupika eti mwanzo mwisho haonji hata chumvi .yaani mimi naweka chumvi hata mara kumi kidogo kidoogo maana sipendi chumvi nyingi kuharibia watu mood ya kula .sasa kila nikiweka chumvi naonja kiukweli kama ni wali kijiko nile kabisa nisikilizie .
hyo ni namba moja leteni story zenu na nyie tushauriane
mods naombeni mpeleke jukwaa husika nimeshindwa kujua niweke wapi samahanini