Mambo ya sherehe haya!

Mambo ya sherehe haya!

Marco shija

Member
Joined
Sep 20, 2015
Posts
64
Reaction score
36
Kwenye sherehe/ harusi za kibongo bongo, unaweza kujihudumia vyakula vyoote lakini ukifika kwenye beseni la nyama utakuta kuna mhudumu wa kike tena mzuri kasimama ili akupimie.
Hivi ni kwanini?
 
Back
Top Bottom