Mambo ya uchawi unavyofanyika katika viungo vya uzazi someni

Daaaaaa hapo kwenye swala la kijichua umenistua kidogo coz ndo kamchezo kangu kitambo sasa cjui nan kaniloga hapo jmn fafanua kidogo mkuu

see me soon ntakusaidia email:ndetichia@jamiiforums.com
 

issue za watu ni Wa mnarani Babeli
 
Ukimtegemea yesu mwana pekee wa mungu kamwe hayo hayatakupata!mwamini yeye!
Hakuna mwema ila mungu pekee! Imeandikwa ombeni nanyi mtapewa,ukiomba ulinzi kwa mungu kupitia yesu kristo utapata hakika!

Aminaaa
 

Endelea kujidanganya na wet dreams
 

kutokufanya mapenzi muda mrefu ndo kunaleta wet dream hakuna jini mahaba hapo
 



Kumbe ni Biashara, MziziMkavu endelea kupiga pesa mkuu, maana hawa binadamu hata uwaambie vipi hawataki kuukubali ukweli.

Mtu anashindwa kupambana na umaskini ulio halisi (real), wao wapo busy kuamini vitu vya kufikirika (uchawi)

Kama uchawi upo au ni dili, kwa nini usitumike kuifanya tanzania ya kwanza duniani kwa uchumi?

Au hata USA wanatumia uchawi kufanya scientific developments?
 
Last edited by a moderator:

ukweli mtupu
 

Sasa ikiwa mwanaume hatumii nyama ataweka pilipili?
 
MziziMkavu kwa Yesu kila goti litapigwa. Uchawi wote unaisha kwa kuliitia jina LA Yesu. Amen
Mkuu Nazjaz Katika mambo ya uchawi hakuna cha Yesu wala mchungajihapo hujrogwa wewe utakapo rogwa ndipo utajuwa kuwa wachawi ni watu wa aiana gani? Na mimi sikuombeiupate kurogwa

lakini usijaribu tena tema mate chini sema mungu akulinde tu lakini uatakapo rogwa na kupatwa na amradhi ndipo utakapo juwa kuwa Wachawi ni watu wabaya hata umtaje Yesu Mara 1000 hawezi

kukusaidia huyo Yesu wako. Usione baadhiya wachungaji wanatumiajina la Yesu kuwatoa watu mapepo

kuna siri kubwa hapo inayofanyika ila wanaziba watu macho kwa klutumiajina la Yesu Mwenyewe

alisemakuwa Watakuja Manabiiwa uongo na watafany miujiza mingi na kunitaja mimi jina langu

musiwaamini.


Matayo 7:15-16

Manabii Wa Uongo


15 Jihadharini na manabii wa uongo wanaowajia wakiwa wamevaa ngozi ya kondoo, kumbe ndani ni mbwa mwitu wakali. 16 Mtawatambua kwa matunda yao. Je, unaweza kuchuma zabibu kwenye miiba au tini kwenye michongoma?

Mathayo 24:4-5

4 Yesu akajibu, akawaambia, Angalieni, mtu asiwadanganye.
5 Kwa sababu wengi watakuja kwa jina langu, wakisema, Mimi ni Kristo; nao watadanganya wengi.


Utabiri wa Yesu juu ya Manabii wa uongo na dalili za mwisho wa dunia.



Kitabu cha Mathayo 24:1-5 na Mathayo 24:24-28


1.Yesu akatoka hekaluni na alipokuwa akienda zake, wanafunzi wake wakamwendea ili kumwonyesha majengo ya hekalu.


2.Ndipo Yesu akawauliza, "Je, mnayaona haya yote? Amin, amin nawaambia, hakuna hata jiwe moja hapa litakalobaki juu ya jingine, kila moja litabomolewa."


3.Yesu alipokuwa ameketi kwenye Mlima wa Mizeituni, wanafunzi wake wakamjia mahali pasipo na watu, wakamwuliza, "Tuambie, mambo haya yatatukia lini, nayo ni nini dalili za kuja kwako na za mwisho wa dunia?


4.
Yesu akawajibu, "Angalieni, mtu asiwadanganye.
5Kwa maana wengi watakuja kwa jina langu wakidai, ?Mimi ndiye Kristo, nao watawadanganya wengi.


24.Kwa maana watatokea makristo wa uongo na manabii wa uongo na kufanya ishara kubwa na miujiza mingi ili kuwapotosha, hata ikiwezekana wale wateule hasa. 25Angalieni, nimetangulia kuwaambia mapema.


26."Kwa hiyo mtu ye yote akiwaambia, Yule kule nyikani,? msiende huko. Au akisema, Yuko kwenye chumba,? msisadiki.

27Kwa maana kama vile umeme utokeavyo mashariki na kuonekana hata magharibi, ndivyo itakavyokuwa kuja kwake Mwana wa Adamu. 28Kwa maana po pote ulipo mzoga, huko ndiko wakusanyikapo tai.



 

Hilo la kusema kwamba Yesu hawezi mbele ya nguvu ya wachawi inategemea imani yako tu. Uchawi upo ila mbele za Mungu si kitu kabisa.
 
Hilo la kusema kwamba Yesu hawezi mbele ya nguvu ya wachawi inategemea imani yako tu. Uchawi upo ila mbele za Mungu si kitu kabisa.

Sii mbele ya Mungu, ni mbele yako endapo utaamini.
Wewe unayo mamlaka makubwa sana hata pasipo kumshirikisha sijui mungu au shetani.

Ninyi mwaitumia mamlaka yenu huku mkisema eti mmetumia mamlaka ya Mungu.
 
Hilo la kusema kwamba Yesu hawezi mbele ya nguvu ya wachawi inategemea imani yako tu. Uchawi upo ila mbele za Mungu si kitu kabisa.
Tofautisha kati ya Yesu na Mungu si kitu kimoja Yesu ni mwana Maria Bikira, na Mungu ni muumba wa huyo Yesu pamoja na mama yake. Bwana Yesu alikuwa ni binadamu hakuwa ni Mungu ushahidi Soma hapa.

Yesu inajulikana kwetu kama "Mwana wa Adamu" mara 88 katika Agano Jipya. Maana ya kwanza ya neno "Mwana wa Adamu" ni kumbukumbu ya unabii wa Danieli 7:13-14, "Nikaona katika njozi za usiku, na tazama mmoja aliye mfano wa mwanadamu akaja pamoja na mawingu ya mbingu akamkaribia huyo mzee wa siku, wakamleta karibu naye. Naye akapewa mamlaka, na utukufu, na ufalme, ili wa watu wa kabila zote, na taifa zote, na lugha zote; wamtumikie mamlaka yake ni mamlaka ya milele, amboayo hayatapita kamwe, na ufalme wake ni ufalme usio weweza kuangamizwa." Elezo "Mwana wa Adamu " ilikuwa ni cheo cha Kimasihi. Yesu ndiye ambaye alipewa mamlaka, na utukufu na ufalme. Wakati Yesu alitumia maneno haya, alikuwa anamshirikisha Mwana wa Adamu kwa unabii kwake mwenyewe. Wayahudi wa zama kwamba ingekuwa kwa undani familiar na maneno na nani inajulikana. Yesu alikuwa akijitangaza yeye mwenyewe kama Masihi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…