Unamchukia mchina kwa sababu hana historia ya kukunyanyasa, effect ya mzungu kukuchapa viboko na kukulimisha miaka 400 bado inakuandama, unamuona mzungu kama mungu wako, hata kwenye vitabu vya wakristu yesu wangemchora kwa picha ya mchina ungekua unamuheshimu mchina, il kwa sababu yesu na malaika wamewachora kwa picha ya mzungu ndo maana unawalamba miguu wazungu.