Mambo ya Wachina huko kwa wenzetu - Zambia

Mambo ya Wachina huko kwa wenzetu - Zambia

Yule mama hata akitoka jela hela aliyochuma Tanzania atakula mpaka na vitukuu vyake.
Wangekuwa wanawafirisi. Na wako wengi. Wanajifanya wawekezaji wa hiki kumbe wanaiba hiki. Na unakuta wanawahonga vijisent wabongo wanaendelea kuiba
 
Wangekuwa wanawafirisi. Na wako wengi. Wanajifanya wawekezaji wa hiki kumbe wanaiba hiki. Na unakuta wanawahonga vijisent wabongo wanaendelea kuiba
Congo walimwambia Kabila I atamjengea barabara bure, kumbe lile eneo walijua lina madini. Waliketa ma digger yao na walitengeneza barabara. Madini waliyoyapata ni siri yao lakini yalizidi thamani ya barabara.
 
Congo walimwambia Kabila I atamjengea barabara bure, kumbe lile eneo walijua lina madini. Waliketa ma digger yao na walitengeneza barabara. Madini waliyoyapata ni siri yao lakini yalizidi thamani ya barabara.
Nahisi hawa watu weupe uwa wanatuona sisi ni malofa wa kiwango cha nyani. Nahisi wanavyotupiga uwa wakikaa wanacheka kwa jinsi tulivyo mafara
 
Kwanza wanashangaa kwanini sisi ni masikini wakati utajiri umetuzunguka.
Kweli uwa sometimes naona acha watuibie maana hata wakiyaacha hatujui tufanye nini. Tunachojua ni kukopa kwao tu. Kuna mahali tuna shida, mambo ya uchumi yametushinda. Just imagine S.A ilivyokuwa kiuchumi kabla ya kubadili regime. Sisemi naunga mkono regime ya makaburu ila S.A inashuka kiuchumi na ilipaswa kuwa mbali sana.
Maajabu ya Botswana ya kiuchumi yameletwa na raisi ambaye ana chembe za weupe.
Sasa kwanini sisi pure africans tunashindwa kufanya mageuzi mpaka leo sielewi.
Nchi za afrika siasa zinafanana. Utakuta shughuli za kiserikali ila watu wanazungumzia chama tawala wamevaa mashati na makofia.
Hii nimeiona karibu nchi zote za afrika siyo tanzania, siyo zambia, siyo malawi wala uganda.
 
Kweli uwa sometimes naona acha watuibie maana hata wakiyaacha hatujui tufanye nini. Tunachojua ni kukopa kwao tu. Kuna mahali tuna shida, mambo ya uchumi yametushinda. Just imagine S.A ilivyokuwa kiuchumi kabla ya kubadili regime. Sisemi naunga mkono regime ya makaburu ila S.A inashuka kiuchumi na ilipaswa kuwa mbali sana.
Maajabu ya Botswana ya kiuchumi yameletwa na raisi ambaye ana chembe za weupe.
Sasa kwanini sisi pure africans tunashindwa kufanya mageuzi mpaka leo sielewi.
Nchi za afrika siasa zinafanana. Utakuta shughuli za kiserikali ila watu wanazungumzia chama tawala wamevaa mashati na makofia.
Hii nimeiona karibu nchi zote za afrika siyo tanzania, siyo zambia, siyo malawi wala uganda.
Tatizo lilianzia tulipoanza kuchukuliwa utumwani. Jamii zilisambaratika na tulipoteza viongozi, uwongozi, elimu na ujuzi.

Wakolini walipokuja kututawala pia tuliishia kufanya kazi za kitumwa. Kazi za ujuzi walizofundishwa weusi ni uwalimu, uuguzi, upadre nk. Tulipopata Uhuru hatukuwa na uwezo wa kujitawala. Wakati wanatupa Uhuru walijua tu tutakwama.

Tungeweka malengo ya kuwajengea vijana kujifunza utawala wakati mkoloni anatawala, lakini hili mkoloni asingelikubali kwani angeshindwa kututawala kwa ukoloni mamboleo.
 
Tatizo lilianzia tulipoanza kuchukuliwa utumwani. Jamii zilisambaratika na tulipoteza viongozi, uwongozi, elimu na ujuzi.

Wakolini walipokuja kututawala pia tuliishia kufanya kazi za kitumwa. Kazi za ujuzi walizofundishwa weusi ni uwalimu, uuguzi, upadre nk. Tulipopata Uhuru hatukuwa na uwezo wa kujitawala. Wakati wanatupa Uhuru walijua tu tutakwama.

Tungeweka malengo ya kuwajengea vijana kujifunza utawala wakati mkoloni anatawala, lakini hili mkoloni asingelikubali kwani angeshindwa kututawala kwa ukoloni mamboleo.
Sasa hii hali itaisha lini? Mbona nchi kama Singapore zimeweza japo nazo zilitawaliwa.
Kuna nchi kama ethiopia haikutawaliwa lakini ina matatizo kama ya nchi nyingine tu za kiafrika
 
Sasa hii hali itaisha lini? Mbona nchi kama Singapore zimeweza japo nazo zilitawaliwa.
Kuna nchi kama ethiopia haikutawaliwa lakini ina matatizo kama ya nchi nyingine tu za kiafrika
Walitumia akili, walipeleka vijana kusoma Ulaya na Marekani kwa agenda ya kujifunza uchumi, siasa, ufundi, diplomasia kilimo nk. Vijana wale waliandika reforms ambazo zimebadilisha uchumi wa nchi. Kinachohitajika katika kufanikisha hili ni uwongozi bora. Sasa serikali inayoiba kura kuingia madarakani usitegemee moyo wa kizalendo kwa vizazi vijavyo.
 
Walitumia akili, walipeleka vijana kusoma Ulaya na Marekani kwa agenda ya kujifunza uchumi, siasa, ufundi, diplomasia kilimo nk. Vijana wale waliandika reforms ambazo zimebadilisha uchumi wa nchi. Kinachohitajika katika kufanikisha hili ni uwongozi bora. Sasa serikali inayoiba kura kuingia madarakani usitegemee moyo wa kizalendo kwa vizazi vijavyo.
Sisi tunajali matumbo yetu.
Mtu anauza madini ya nchi kisa anapewa milion 900 na v8.
 
Yes uwa wanalindwa na viongozi. Ila wachina pia ni wanyonyaji sana na hilo ndilo linanifanya niwe na mashaka na uwekezaji wao. Hata wafanyakazi mishahara ovyo, mazingira wanaharibu
Wazungu wakiwanyonya hamuongei, ila wachina wakifanya biashara na nyie, kelele nyingi, shtukeni, tokeni kwenye propaganda zinazoletwa na mzungu
 
Wazungu wakiwanyonya hamuongei, ila wachina wakifanya biashara na nyie, kelele nyingi, shtukeni, tokeni kwenye propaganda zinazoletwa na mzungu
Wote wanyonyaji ila unyonyaji wao unatofautiana. Ukitaka kujua hilo tazama wafanyakazi wanaofanya kwenye kampuni za wazungu na wale vibarua wa mchina? Hata uovu unazidiana viwango. Mchina ni mnyonyaji zaidi ya kupe
 
Ndiyo mkuu. Nilienda kijiji flani kinaitwa ubaruku mbeya, nilikuta wachina wana mashamba makubwa ya mpunga.
Hicho ndicho kinachotakiwa sisi ulimaji wetu tunaujua sisi, wenye uwezo wakipewa maeneo walime kelele, ohoo tunawaleta wakoloni!
 
Wote wanyonyaji ila unyonyaji wao unatofautiana. Ukitaka kujua hilo tazama wafanyakazi wanaofanya kwenye kampuni za wazungu na wale vibarua wa mchina? Hata uovu unazidiana viwango. Mchina ni mnyonyaji zaidi ya kupe
Ila mbona kwa wazungu sioni hii speed ya mashambulizi?
Ni kama mwanamke anaebakwa, akisema mzungu anabaka kwa ustaarabu kuliko mchina, ila mzungu ndo uliekubaka kwa mda mrefu kuliko mchina[emoji23]
 
Ila mbona kwa wazungu sioni hii speed ya mashambulizi?
Ni kama mwanamke anaebakwa, akisema mzungu anabaka kwa ustaarabu kuliko mchina, ila mzungu ndo uliekubaka kwa mda mrefu kuliko mchina[emoji23]
Tuheshimu wachina, wote tumepitia historia moja ya kutawaliwa, bila wao wazungu wangetutawala zaidi ya hapa. Bora wanawapunguza speed kidogo
 
Tatizo lilianzia tulipoanza kuchukuliwa utumwani. Jamii zilisambaratika na tulipoteza viongozi, uwongozi, elimu na ujuzi.

Wakolini walipokuja kututawala pia tuliishia kufanya kazi za kitumwa. Kazi za ujuzi walizofundishwa weusi ni uwalimu, uuguzi, upadre nk. Tulipopata Uhuru hatukuwa na uwezo wa kujitawala. Wakati wanatupa Uhuru walijua tu tutakwama.

Tungeweka malengo ya kuwajengea vijana kujifunza utawala wakati mkoloni anatawala, lakini hili mkoloni asingelikubali kwani angeshindwa kututawala kwa ukoloni mamboleo.
Kudhani utawala / kutawaliwa ni muhimu ndio mzizi wa fitina...

Kama kila mtu anajua right and wrong na nafasi yake katika jamii hata asipokuwepo mtawala au mtawala chizi au roboti vitu vitakwenda...., Dunia ni tajiri kwa mahitaji ya kila mtu ila sio ulafi wa kila mmoja, pamoja na kuiba kwao madini n.k. ila wao hata huko kwao wana matatizo..., Cha muhimu ni kila mtu kupata fursa ya kujipatia kipato ili kukidhi mahitaji yake (hata tusipokuwa na matajiri wengi ila tuwe na watu wa kipato cha kati wengi)..., Haya so called madini sijui resources is just a means to an end (Japan iliweza kuendelea bila kuwa na natural resources....) Resource kubwa kuliko zote ni Watu (Productive Individuals) hawa watu wakiwa na utamaduni wa kuzalisha na kuuziana na kununuliana hata bila uongozi / utawala they will survive (Law of the Jungle, na Ubinafsi na umimi wa binadamu utaendelea na kila mtu kumyonyonya mwingine kila akipata fursa, until that day tutakapogundua binadamu wote ni ndugu na adui wetu ni mazingira yanayotuzunguka na kwa kusaidiana for the common good is the only means for our survival as a specie)

Ila Maendeleo ni nini USD kiasi fulani kwenye Reserves ?, Kila mtu kumiliki Iphone na kuendesha gari au kila kiumbe kuwa na uhakikia wa Malazi, Mavazi na Chakula na kubakia na chenji ya kuweza kujipatia mahitaji yake mengine madogo madogo (Sababu hata huo utajiri tunaouwaza tukifika uchumi wa juu ni utajiri wa wachache na wa kuongeza matabaka utakaopelekea chuki na insecurity kati ya have and have nots...)
 
Back
Top Bottom