Huhitaji kualikwa hapo ni club unalipa kiingilio tu.Waache bana, hizo ndio flowers zenyewe! mbona mimi party hizi sialikwagi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huhitaji kualikwa hapo ni club unalipa kiingilio tu.Waache bana, hizo ndio flowers zenyewe! mbona mimi party hizi sialikwagi?
[/IMG]http://![]()
Mkuu El Toro hawa warembo wa wapi? ilikuwa sehemu gani hii? Ni picha nzuri sanaaa
[/IMG]http://![]()
Mkuu El Toro hawa warembo wa wapi? ilikuwa sehemu gani hii? Ni picha nzuri sanaaa[/QUOTE]uzuri wake nini? au kuona mapaja waaaziii ndio uzuri wa picha, wakware bana
uzuri wake nini? au kuona mapaja waaaziii ndio uzuri wa picha, wakware bana
Mbona nguo nyeusi tupu!
Mno bro.
Karibu sana kigamboni 😎 tupate bia na nyama chomaMno bro.
Nimejisimamisha bia kidogo mkuu kwa uchunguzi wa uchumi wangu zaidi.Karibu sana kigamboni 😎 tupate bia na nyama choma
Uchumi wangu hauniruhusu kwenda sehemu za starehe.
Party after party, safi sana.Karibu sana kigamboni 😎 tupate bia na nyama choma
Nitakulipia usiwaze 😎Uchumi wangu hauniruhusu kwenda sehemu za starehe.
Soda zipo 😎Nimejisimamisha bia kidogo mkuu kwa uchunguzi wa uchumi wangu zaidi.
Sipendi kulipiwa. Napenda hela zikae kwenye pocket yangu.Nitakulipia usiwaze 😎
Ok Kuna milioni 2 hapa itakutosha😎Sipendi kulipiwa. Napenda hela zikae kwenye pocket yangu.
Hapo ndo nitakua na amani.
Tajiri unazungumzia mil 2! Mimi hata 2k inanifaaOk Kuna milioni 2 hapa itakutosha😎
Situmii bro😁Soda zipo 😎
Hata maziwa hutumii?Situmii bro😁
Fresh lakinHata maziwa hutumii?