Mc Tilly Chizenga
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 4,641
- 3,680
- Thread starter
-
- #81
That's disrespectful!
And if your wife to be doesn't see anything wrong with it, then something is wrong with her too.
nabeba mzigo nasokeza siku maana hata wakati nakutana nae alikuwa tayari ashaondolewa bikra so am aware kwamba kulikuwa na njemba alikuwa anapata mzigo...
Niliposoma tittle 'MAMBO YA X' nikajua unazungumzia 'PILAU'. Duh, kumbe tofauti.
Na hapo ndipo ugonvi kama si mauaji(ya kutisha)yanapoanzia_na hasa kwa watu kama sisi tusiopenda madharau(embarassment)ya kijinga.
Swala zima la KUCHANGIWA PESA ili kuoa au kuolewa linanyongonyesha muoaji na muolewaji...!
Kama umekubali kufanya vikao vya KUOMBA michango ya kuoa, basi jiandae kuchangiwa na waliomtoa bikira mchumba wako...!
Mlaji ni mla leo mla jana kala ni au siyo jamani?Mavi ya kale hayanuki bwana,pokea with a broad smile.
Usifanye mchezo na ugonjwa wa moyo,Kumjua tu jamaa aliyekuwa anagonga hiyo kitu before ni noma.Kila ukikutana naye pressure inapanda.HAKIYA NANI MOTO UNGEWAKA NA KIKAO KINGEVUNJIKA!!!!!
Mlaji ni mla leo mla jana kala ni au siyo jamani?
pamoja mkuu!mwanaume huwezi ruhusu ujinga kama huo!yaani hii iko very close to murder case!dk 2 tu unatoa mtu roho!
Bora upokee tu yaishe. Maana hata ukikataa haitabadilisha chochote. Bado jamaa atendelea kuitwa ex-boyfriend na mara moja moja pengine huwa anagonga mzigo. Waswahili wanasema mtalaka hatongozwi...
Huyo sasa anataka ugomvi sio siri
huyo x hana akili.
Wewe unatarajia kuoa hivi karibuni!upo ktk kikao chako cha harusi,mmepanga bajeti ni 12m!Bwana harusi umeanza ahadi yako kwamba utatoa 3.5m!wanakamati wawili watatu nao wakatoa ahadi zao!Sasa unajua tena haya mambo ya marafiki kuleta watu pengine wasio rafiki zako ktk kikao wachangie kumbe mmoja wa marafiki zako kamleta X-boyfriend wa mchumba wako mtarajiwa.
Ikafika zamu ya x wa mtarajiwa wako huku nawe ukiwa unajua jamaa alikuwa anakula mzigo wako,jamaa kwa mbwembwe akauliza so far ahadi ya bw harusi na wanakamati wengine ni sh ngapi?ikaonekana jumla ni 5m!jamaa papo hapo akaahidi kutoa pesa yote iliyobakia yaani 7m yaani mara 2 ya pesa uliyoahidi wewe bwana harusi!kama hataki vile jamaa akatoa cheque book ya kampuni yake ambayo mchumba wako alikuwa akifanya kazi enzi ya mahusiano yake na jamaa hapo awali!Jamaa akaanguka saini akakukabidhi cheque ya 7m!
JE UTAIPOKEA?UTAMWAMBIA MCHUMBA WAKO KUWA X WAKE KATOA KIASI HICHO CHA PESA?AU UTAMTOA NDUKI JAMAA?