Mc Tilly Chizenga
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 4,641
- 3,680
- Thread starter
- #141
nitakubali ila baada ya hapo ni abiria chunga mzigo wako.
husninyo!hivi wewe maisha unayachukulia simple hapa ktk keyboard au hadi ktk real life?yani kila ukicheki album unaona suti ya "mke mwenza"!watu wakisifia suti ya mmeo utajisikiaje hapo?na huko ktk honeymoon huyo x akichukua chumba cha pili jirani kwa kisingizio anakuwa around ili alipe bili on time utalia na nani?