Tesco Tesco
Member
- Jun 3, 2024
- 7
- 20
NakaziaUlikuwa mwema binti mpole, mavazi ya kiafrika kutoka kijijini, ulipofika mjini ofisi ikakuamini ikakupa kazi, ofisi ikakufundisha na mavazi ya kuvaa binti, ukakubali ukaanza kuvaa European style, hukuishia hapo ukafanyika organizational marketing binti wa watu, ukaanza kunawili kwani hukupata mshahara tu ukaanza kupata pesa ya nje ya mshahara hatujui Nini uliwapa ok vijiji vinakukumbusha Jambo moja mkataa kwao mtumwa ishi kwa kukumbuka miiko ya kwenu mjini haitakuzika👍
Umepigwa tukio ukaangukia kwenye utunzi na kaID kapyaUlikuwa mwema binti mpole, mavazi ya kiafrika kutoka kijijini, ulipofika mjini ofisi ikakuamini ikakupa kazi, ofisi ikakufundisha na mavazi ya kuvaa binti, ukakubali ukaanza kuvaa European style, hukuishia hapo ukafanyika organizational marketing binti wa watu, ukaanza kunawili kwani hukupata mshahara tu ukaanza kupata pesa ya nje ya mshahara hatujui Nini uliwapa ok vijiji vinakukumbusha Jambo moja mkataa kwao mtumwa ishi kwa kukumbuka miiko ya kwenu mjini haitakuzika👍
waambie mjini waje taratibu we wakazishe fuvu utawapeleka wewe hospital wakiungwa kwenye grid ya taifa...?Mabinti wanawapeleka mkuku mkuku mpaka waongee peke yao, mabinti kazieni hapo hapo
Ushapigwa kizinga huko, unakuja kulia humu.Ulikuwa mwema binti mpole, mavazi ya kiafrika kutoka kijijini, ulipofika mjini ofisi ikakuamini ikakupa kazi, ofisi ikakufundisha na mavazi ya kuvaa binti, ukakubali ukaanza kuvaa European style, hukuishia hapo ukafanyika organizational marketing binti wa watu, ukaanza kunawili kwani hukupata mshahara tu ukaanza kupata pesa ya nje ya mshahara hatujui Nini uliwapa ok vijiji vinakukumbusha Jambo moja mkataa kwao mtumwa ishi kwa kukumbuka miiko ya kwenu mjini haitakuzika👍
WAKAZIE HAPO HAPOwaambie mjini waje taratibu we wakazishe fuvu utawapeleka wewe hospital wakiungwa kwenye grid ya taifa...?
matendo yako hayaendani na jina lako!WAKAZIE HAPO HAPO
Ndo mada inavyosema kwani?matendo yako hayaendani na jina lako!
ya kwamba upo straight to the point hutaki pindapinda...😁Ndo mada inavyosema kwani?
Unakazia Nini sasa Mkuu!? 😳 Aisee🙌Nakazia
Kama nyoka yaniya kwamba upo straight to the point hutaki pindapinda...😁
wajikuta super star mkate wako nishaanza kuuandaa utaula bila chai, juice wala majiKama nyoka yani
Asante kwa kunipa u-super star,wajikuta super star mkate wako nishaanza kuuandaa utaula bila chai, juice wala maji