Mambo yako kasi

Mambo yako kasi

Tesco Tesco

Member
Joined
Jun 3, 2024
Posts
7
Reaction score
20
Ulikuwa mwema binti mpole, mavazi ya kiafrika kutoka kijijini, ulipofika mjini ofisi ikakuamini ikakupa kazi, ofisi ikakufundisha na mavazi ya kuvaa binti, ukakubali ukaanza kuvaa European style, hukuishia hapo ukafanyika organizational marketing binti wa watu, ukaanza kunawili kwani hukupata mshahara tu ukaanza kupata pesa ya nje ya mshahara hatujui Nini uliwapa ok vijiji vinakukumbusha Jambo moja mkataa kwao mtumwa ishi kwa kukumbuka miiko ya kwenu mjini haitakuzika👍
 
Ulikuwa mwema binti mpole, mavazi ya kiafrika kutoka kijijini, ulipofika mjini ofisi ikakuamini ikakupa kazi, ofisi ikakufundisha na mavazi ya kuvaa binti, ukakubali ukaanza kuvaa European style, hukuishia hapo ukafanyika organizational marketing binti wa watu, ukaanza kunawili kwani hukupata mshahara tu ukaanza kupata pesa ya nje ya mshahara hatujui Nini uliwapa ok vijiji vinakukumbusha Jambo moja mkataa kwao mtumwa ishi kwa kukumbuka miiko ya kwenu mjini haitakuzika👍
Nakazia
 
Ulikuwa mwema binti mpole, mavazi ya kiafrika kutoka kijijini, ulipofika mjini ofisi ikakuamini ikakupa kazi, ofisi ikakufundisha na mavazi ya kuvaa binti, ukakubali ukaanza kuvaa European style, hukuishia hapo ukafanyika organizational marketing binti wa watu, ukaanza kunawili kwani hukupata mshahara tu ukaanza kupata pesa ya nje ya mshahara hatujui Nini uliwapa ok vijiji vinakukumbusha Jambo moja mkataa kwao mtumwa ishi kwa kukumbuka miiko ya kwenu mjini haitakuzika👍
Umepigwa tukio ukaangukia kwenye utunzi na kaID kapya

Kweli wahuni sio watu wazuri
 
Ulikuwa mwema binti mpole, mavazi ya kiafrika kutoka kijijini, ulipofika mjini ofisi ikakuamini ikakupa kazi, ofisi ikakufundisha na mavazi ya kuvaa binti, ukakubali ukaanza kuvaa European style, hukuishia hapo ukafanyika organizational marketing binti wa watu, ukaanza kunawili kwani hukupata mshahara tu ukaanza kupata pesa ya nje ya mshahara hatujui Nini uliwapa ok vijiji vinakukumbusha Jambo moja mkataa kwao mtumwa ishi kwa kukumbuka miiko ya kwenu mjini haitakuzika👍
Ushapigwa kizinga huko, unakuja kulia humu.
 
Back
Top Bottom