Mambo yakuzingatia unapotafuta forex mentor (mwalimu wa forex)

ingia YouTube ,andika dar forex mkt, utapata watu wanazungumza nakukuelekeza hii kitu, kwa kiswahili, kisha Fanya maamuzi. samahanii timu.............. mi sio kama naipinga, ila tunafafanua ukwelii
 
ingia YouTube ,andika dar forex mkt, utapata watu wanazungumza nakukuelekeza hii kitu, kwa kiswahili, kisha Fanya maamuzi. samahanii timu.............. mi sio kama naipinga, ila tunafafanua ukwelii
Ukweli gani unaofafanua..kwamba forex ni betting au forex sio biashara rahis kama watu wanavodhan?
 
Sometimes we need to be fair sio tu kulaumu bila sababu!

Ivi unaponunua simu ya promotion ya samsung pale voda na ukaambiwa ni lazima utumie line voda kuna ubaya gan?? Kwan ukiwa na line ya voda hupati mawasiliano??

Kwanza ulitakiwa umpongeze maana hata kama anapata commission ni dalili kwamba kijana anajituma!! Na wewe komaa upate commission mkuu sio unaleta wivu wa kike...
 
huo ndio ukweli japo SIO Dhambi bado kwa ulimwengu huu ni biashara.
 
Mimi Binafsi sija Qualify kua Mentor wa hii biashara katika miaka hio minne, Ni miaka hii miwili ndo nimeanza kuonja mafanikio ya hii biashara
 
Biashara hii ningumu kiujumla unavo trade forex unakua upo kwenye kinyang'anyiro cha nani ashinde na MaBank makubwa duniani kwa sababu mabank haya ndo "Liquidity provider" sasa nilazima JF yoyote unaaejiingiza kwenye hii biashara Ajue kutrade kwa faidakupitia Demo kabla yakuweka fedha zakweli (live account)
 
kuna mtu ametajwa jina.. wajinga ndio waliwao

 
Nikweli hawa ma Mentor wote awe mentor mwenye vigezo au Tapeli wote wana IB agreeements
(Ni uhusiano wa mentors na mabroker, ambapo ma broker wa forex huwalipa mentor commission kwa kuwapelekea wateja yaani wale wanafunzi wao, sio Jambo baya maana hii ni biashara
 
"ubaya wake unakuja pale ambapo mentor wako hatengenezi pesa na trading anachokifanya yeye nikutengeneza pesa na kufundisha sasa hapo nisawa na vipofu wawili wanaongozana
ndomaana nika "wahasa wana jamii kupata trackrecord zahawa watu maana" mtadaoni ndo waliojaaaa wanamna hiii.
 
Asilimia Kubwa ya hawa mamentror wanajua FOREX NINI? NASIO KUJUA KUA NAFAIDA NAHII BIASHARA KWA KIPINDI KIREFU maana hapo ndio mtiti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…