Mambo yakuzingatia unapotafuta forex mentor (mwalimu wa forex)

Unaweza ku expand kidogo hiyo taarifa ya kwamba "Forex ni betting." Na maana maelezo zaidi maana umetuweka katika dilemma kielewa una maanisha nini exactly.
Define na toa example kuhusu betting na forex ni nini ili tuelimike zaidi mkuu.
Mentor analipwa bei gani kukufundisha kubeti?
 
That's your opinion. With due respect, a person may be a hero to you but not to all! And thats my opinion too, you are free to disagree!
My words are not the overall principle. They will remain to be my opinion and that is what I see. We will only differ in team of how many agree with our opinions. That's all about
 
Mentor analipwa bei gani kukufundisha kubeti?
Sipingi mawazo yako kwamba forex ni betting, ila toa maelezo zaidi with evidence if possible ueleweke una maana gani.
Define na toa example kuhusu betting na forex ni nini badala kuniuliza maswali! Kama jibu halipo bora tuambie tufunge mjadala.
 
Ndio maana nasema ontario amekomboa wengi!!
Bila huyo jamaa nisingejua kuwa kuna kitu kinaitwa forex.

Forex inataka mtu mwenye malengo ya kukuza mtaji.
Ndio maana wanasema haipo kwaajili ya wasio na kazi.
Maana yake ni kwamba, usianze forex kwa lengo la kukidhi mahitaji yako, utafeli.

Kwa upande wangu nimejiwekea malengo ya kupata japo dollar 2 tu kwa siku kwa muda wa miezi 6. Baada ya hapo nimepanga kupata japo dollar 4 tu kwa siku kwa muda wa miezi 6.
Angalia mchanganuo hapa chini.

2018 June = $2
2018 DEC = $4
2019 June = $8
2019 dec = 16
.
.
.
.
2027 DEC = $1048576 kwa siku.

Mtaji wangu ni $200. Natumia cent acc ambayo lot naweka 0.10.

Hata trade ingeenda kinyume na mimi, acc haiwezi kuungua.

Nina malengo ya kutajirika miaka 10 ijayo kama nitakua hai. Hivyo ndivyo forex inataka
 
Wrong
 
Unaweza ku expand kidogo hiyo taarifa ya kwamba "Forex ni betting." Na maana maelezo zaidi maana umetuweka katika dilemma kielewa una maanisha nini exactly.
Define na toa example kuhusu betting na forex ni nini ili tuelimike zaidi mkuu.
Wewe hauna tofauti na zitto kabwe.. Hauna msimamo kabisa

Nina mashaka inawezekana wewe ni trader mzoefu au unajisomea kimya kimya afu ukija jf unaponda
 
Sipingi mawazo yako kwamba forex ni betting, ila toa maelezo zaidi with evidence if possible ueleweke una maana gani.
Define na toa example kuhusu betting na forex ni nini badala kuniuliza maswali! Kama jibu halipo bora tuambie tufunge mjadala.
Sorry, nilidhani ni miongoni mwa wafia Forex.
Nakuahidi nitaweka maelezo ya kushiba iache siku ibadili jina kwanza.
 
hichi ndo kitu kilichonifelesha forex mwanzoni
1. Usiweke Malengo ya fedha kila siku wala kila mwezi unajichimbia kabuli maana apo utakachokua unakifanya emtionally nikutafuta opportunity ata kwa kuforce ili ufikie Hesabu zako zakaratasi "acha strategy yako iproduce results "Trade tu pindi nafasi zinapojitokeza"

"Kwa maulizo kuhusiana na hii biashara kupata uzoefu wa hapa Mni Dm maaana nimeshaitwa mbinafsi sasa nafungua milango" Na hudumaa hii ni BUREEEEEEEEEEEEEEEE Sitaki pesa ya mtu siina IB contract kwambe ukafungue account kwa broker wangu nipate commission sitaki cha mtu pesa ninayotengeneza na forex inanitosha Narudia ni BUREEEEEEEEEEEEEEEE Sitaki pesa ya mtu
 
Tuko na mwenzenu Troll naye anapiga mzigo kama kawa.... Endeleeni kupoteza muda...
"Fedha sio msingi wa maendeleo" Nyerere.

Ukitaka kutapeliwa kweye "sio" weka "ndio"
Kwenye "Nyerere weka jina lako.
 
Sipingani na wewe mkuu. Ila naomba nikwambie kitu. Hakuna biashara isiyo na malengo.

Alafu ili iitwe biashara, lazima ikue. Hicho ndicho ninachokifanya mimi.

Hivi sasa najua kucontrol emotional na kubalance trade zangu. Kutokana na strategy zangu, kwa siku sikosi $5. Hiyo $2 nimeiweka kama malengo yangu tu. Kuna siku naweza pata 1.5$. Kwakua nina lengo la 2$ kwa siku, siku ikiwa vizuri inacover siku malengo yalipopelea.

Pia nashukuru kwakuamua kujitolea kuwapa somo watanzania bila malipo
 
Angalau wewe unasomeka kuwa unapiga hela.

Wenzio wanafanya tour ya kukusanya pesa kila mkoa.
Sijui wana tred muda gani!
 
"Fedha sio msingi wa maendeleo" Nyerere.

Ukitaka kutapeliwa kweye "sio" weka "ndio"
Kwenye "Nyerere weka jina lako.
Ingekua sio msingi wa maendeleo magufuli asingekua anahangaika na kodi plus makinikia(japo walitaka tilions kadhaa wameambulia bonus ya bilion kadhaa)!
 
Ingekua sio msingi wa maendeleo magufuli asingekua anahangaika na kodi plus makinikia(japo walitaka tilions kadhaa wameambulia bonus ya bilion kadhaa)!
Umesoma pamoja na mapendekezo yangu au umesoma nukuu pekee na kuamua kuijibu nukuu!?

Kama jibu ni ndio basi jibu la nukuu lipeleke butiama Mwitongo.
 
kwenye thread nimeona mtu anasema biashara hii ni betting
jibu ni NDIO "kama ukiamua kuifanya betting,usipo kua makini na RISK management"
na Hapana sio betting "Kama ukitumia risk management vizuri"
 
Nimependa sana malengo yako ni jinsi ulivyoelezea lakini kwa lot size kama hio na initial deposit ya $200 zipo baadhi ya trades ambazo zitaunguza akaunti yako labda utumie lot size ya 0.02, kitu kingine ni kwamba kweli unayo hio discipline ya kuangalia zaidi ya$100,000 kwenye trading account yako bila kuwithdraw. Kwangu mm sio realistic kwasababu kumbuka kua a lot can happen in 10years unaweza ukapata matatizo ya ghafla ambayo inahitaji hela nyingi na hivyo unajikuta una - withdraw hela yako yote kwenye trading acc yako.
 
Natumia USC sio USD. Yaani inasoma 20000 USC mkuu
 
Malengo mbn yako chini dah hapana kwangu mm bora nisiingie kbs
 
USC ndio kitu gani mkuu
Us cent. Maana yake Natumia cent acc.

Alafu kuhusu kutoa ni hivi,
Kwa siku nimejiwekea kupata 2$. Lakini huwa napata mpaka 5$. Kinachozidi nitakua nakitoa pale nikiwa nahitaji hela.
Pia nina vyanzo vingine vya mapato ndio maana sina wasiwasi mkuu.

Hii biashara inahitaji malengo ya muda mrefu ili ifanikiwe. Hapo ndo utaipenda na hutapata hasara kamwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…