Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Sawa sawa fred uisso mzee wa maspta saptaHayo ni mabadiliko ya tabia ya ndoa
Nini kifanyike?Utandawazi
[emoji4] [emoji4] [emoji4]Sawa sawa fred uisso mzee wa maspta sapta
Vipi kama kapuyanga kupika siku hyoyaan unakataa kula mtu mzima.ina maana kuna sehemu umekula tayar ushashiba..mi nakula tu hamna namna.
Wacha Mtani. 😀😀😀Hayo ni mabadiliko ya tabia ya ndoa
Umeonaeee. Usawa huu unaanzaje kususa huku wenzio wanakula. Mie pia naona anakuwa kashiba huyo.yaan unakataa kula mtu mzima.ina maana kuna sehemu umekula tayar ushashiba..mi nakula tu hamna namna.
Wew kuachika sio leo wala keshoo dadaKiukweli wanawake hawalii sababu siku hizi wengi wao sio kwamba hawali kwa kuwa hawajakipenda chakula ila walio wengi wanakuwa wameshiba sio bure
Kwani kikawaida kupika chakula ndani ya nyumba Me huwa anashirikishwa kwamba Baba leo tule nini na hata kama hajashirikishwa lazima kipikwe kile ambacho anakipenda au kile ambacho kimezoeleka kuliwa hapo home na Me anakipenda.
Na kama hakijapikwa kwa kiwango anachokitaka yampasa kujua kuna kuteleza pia siku moja moja na sio kususa.
Au sio[emoji23] [emoji23]Umeonaeee. Usawa huu unaanzaje kususa huku wenzio wanakula. Mie pia naona anakuwa kashiba huyo.
Ikitokea tulage tu jamaani na sio kwamba hatuwapendi tunawapenda sana ila kulia NO.
[emoji4] kuna msemo unasema kimfaacho mtu chakeWacha Mtani. [emoji3][emoji3][emoji3]
Kwanza mwanaume wa kususa susa hata hapendezi.
Ndio Kaka.Au sio[emoji23] [emoji23]
Hahahaaaaa.[emoji4] kuna msemo unasema kimfaacho mtu chake
Naona umefurahi mtani [emoji12] [emoji12]Hahahaaaaa.
Nifanyeje sasa Mtani. Yabidi nifurahi tu.Naona umefurahi mtani [emoji12] [emoji12]