Mambo yameenda kama yalivyopangwa, itifaki imezingatiwa

Mambo yameenda kama yalivyopangwa, itifaki imezingatiwa

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Hongera Yanga Afrika, hongereni pia Ihefu. Mipango imeenda kama ilivyopangwa, itifaki imezingatiwa.
IMG_0253.jpeg
 
Nimesikitika sana Waziri mzima wa Fedha kaenda kuitia moyo Ihefu matokeo yake imepigwa 5 bila. Je asingeenda?

Ndiyo maana uchumi wa nchi haukui na nchi haiendelei. Kitu kidogo tu kama kuisaidia Ihefu FC ameshindwa ataweza uchumi wa nchi ya 30 kwa ukubwa wa eneo duniani?
 
Kwani huyo aliye katikati ya hao waliovaa bluu hapo chini ndo yule mmiliki wa Singida nini sijui?
  • Alipokuwa waziri, na raisi akiwa mwanachama mwenzake pale jangwani, timu ilifanya vizuri.
  • Yeye alipotoka madarakani na yeye akaukosa uwaziri, GSM chaliiii, Manji akakimbia nchi, jamaa wakateseka misumu kadhaa!
  • Wamerudi madarakani, eti kila mechi wanashinda 5

Huna haja ya kujiuliza...jamaa wanaujua mpira, balaaa!
 
Kwani huyo aliye katikati ya hao waliovaa bluu hapo chini ndo yule mmiliki wa Singida nini sijui?
  • Alipokuwa waziri, na raisi akiwa mwanachama mwenzake pale jangwani, timu ilifanya vizuri.
  • Yeye alipotoka madarakani na yeye akaukosa uwaziri, GSM chaliiii, Manji akakimbia nchi, jamaa wakateseka misumu kadhaa!
  • Wamerudi madarakani, eti kila mechi wanashinda 5

Huna haja ya kujiuliza...jamaa wanaujua mpira, balaaa!
Mpira ni pesa manji alipozingukiwa yanga ikawa na njaa maana kwanza zama hizo hata mikataba ilikuwa michache.
Sasa ulitegemea yanga ifanye vizuri wakati timu ilikuwa inalia njaa hata usajili tia tia maji.
Sasa hivi yanga hakuna ukame hivyo kuzigonga timu kwenye league za ndani kawaida tu hata simba alipata zake 5 sijui naye alipokea kitita.
Halafu kama yanga inahonga kama mnavyosema, aisee basi hakuna hata haja ya kusajili wachezaji wa gharama mana si bahasha itaongea...
Ifike mahali wana simba mueleweke, yanga tunaroga au tunahonga maana hamweleweki.
 
Mpira ni pesa manji alipozingukiwa yanga ikawa na njaa maana kwanza zama hizo hata mikataba ilikuwa michache.
Sasa ulitegemea yanga ifanye vizuri wakati timu ilikuwa inalia njaa hata usajili tia tia maji.
Sasa hivi yanga hakuna ukame hivyo kuzigonga timu kwenye league za ndani kawaida tu hata simba alipata zake 5 sijui naye alipokea kitita.
Halafu kama yanga inahonga kama mnavyosema, aisee basi hakuna hata haja ya kusajili wachezaji wa gharama mana si bahasha itaongea...
Ifike mahali wana simba mueleweke, yanga tunaroga au tunahonga maana hamweleweki.
Nasikia sailent ocean alikuwa mufilisi.....

Nazungumzia mpira ndugu, mambo ya kuhonga au kuroga siyafahamu!

Mpira pesa, PSG na Man Utd wasingeteswa huko!

Muhimu sisi ndo wale wale....mitano tena, anaupiga mwingi n.k
 
Nasikia sailent ocean alikuwa mufilisi.....

Nazungumzia mpira ndugu, mambo ya kuhonga au kuroga siyafahamu!

Mpira pesa, PSG na Man Utd wasingeteswa huko!

Muhimu sisi ndo wale wale....mitano tena, anaupiga mwingi n.k
Kwani simba nae alihongwa na gsm??
 
msitete ujinga ligi yenu inaupagwaji mkubwa sana wa matokeo hakuna ligi Tena zaidi ya kupotezea watu mda tu
Ushahidi uko wapi? Mmechukua taratibu gani za kuripoti na kupeleka huo ushahidi ili hatua zichukuliwe? Simba alivyofungwa goli tano walitangaza kuwa kuna wachezaji wali hongwa lakini mpaka leo hatujaona wakipeleka shutuma na ushahidi kwenye vyombo husika au hata kuchuliwa hatua. Kuongea bila ushahidi wala kushtaki ni kuamua kuichafua tu taasisi fulani. Kama lengo ni kukomesha basi nendeni mkashtaki. Mpira wa miguu hautajiki hizo mambo ya rushwa wala upangaji wa matokeo ndio maana mnaona timu zinakatwa point na kushushwa daraja. Sasa nyie mnakwama wapi kuwasilisha malalamiko na ushahidi?
 
Ushahidi uko wapi? Mmechukua taratibu gani za kuripoti na kupeleka huo ushahidi ili hatua zichukuliwe? Simba alivyofungwa goli tano walitangaza kuwa kuna wachezaji wali hongwa lakini mpaka leo hatujaona wakipeleka shutuma na ushahidi kwenye vyombo husika au hata kuchuliwa hatua. Kuongea bila ushahidi wala kushtaki ni kuamua kuichafua tu taasisi fulani. Kama lengo ni kukimeaha basi nendeni mkashtaki. Mpira wa miguu hautajiki hizo mambo ya rushwa wala upangaji wa matokeo ndio maana mnaona timu zinakatwa point na kushushwa daraja. Sasa nyie mnakwama wapi kuwasilisha malalamiko na ushahidi?
Uko sahihi mkuu

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Hata Simba na Belouizdad ni tawi la Yanga, au unataka kusema Simba alikuwa anafungwa hovyo na Yanga?
Hakuna mkate mgumu mbele ya chai. Kwa Simba kuhongwa ni ajabu? Inawezekana achana na hela
 
wanaaibisha bonde la Ihefu kule mbalali mbeya, ni bora wabadilishe jina la timu maana timu yenyewe haiko mbalali tena.. Viongozi waangalie namna ya kubadili jina la hiyo timu...isiitwe tena "IHEFU". Hilo lijamaa linanuksi ndio maana maisha mitaani ni magumu sana...fedha linachezea tu kama pinoki kwa sauti ya mama yangu mdogo! 😛
 
wanaaibisha bonde la Ihefu kule mbalali mbeya, ni bora wabadilishe jina la timu maana timu yenyewe haiko mbalali tena.. Viongozi waangalie namna ya kubadili jina la hiyo timu...isiitwe tena "IHEFU". Hilo lijamaa linanuksi ndio maana maisha mitaani ni magumu sana...fedha linachezea tu kama pinoki kwa sauti ya mama yangu mdogo! 😛
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mnahasira sana aisee
 
Back
Top Bottom