Mambo yameenda kama yalivyopangwa, itifaki imezingatiwa

Mambo yameenda kama yalivyopangwa, itifaki imezingatiwa

Mpira ni pesa manji alipozingukiwa yanga ikawa na njaa maana kwanza zama hizo hata mikataba ilikuwa michache.
Sasa ulitegemea yanga ifanye vizuri wakati timu ilikuwa inalia njaa hata usajili tia tia maji.
Sasa hivi yanga hakuna ukame hivyo kuzigonga timu kwenye league za ndani kawaida tu hata simba alipata zake 5 sijui naye alipokea kitita.
Halafu kama yanga inahonga kama mnavyosema, aisee basi hakuna hata haja ya kusajili wachezaji wa gharama mana si bahasha itaongea...
Ifike mahali wana simba mueleweke, yanga tunaroga au tunahonga maana hamweleweki.
Vyote mnafanya
 
Nimesikitika sana Waziri mzima wa Fedha kaenda kuitia moyo Ihefu matokeo yake imepigwa 5 bila. Je asingeenda?

Ndiyo maana uchumi wa nchi haukui na nchi haiendelei. Kitu kidogo tu kama kuisaidia Ihefu FC ameshindwa ataweza uchumi wa nchi ya 30 kwa ukubwa wa eneo duniani?
kwanini asiende kwenye timu ya kwao singida
 
Mpira ni pesa manji alipozingukiwa yanga ikawa na njaa maana kwanza zama hizo hata mikataba ilikuwa michache.
Sasa ulitegemea yanga ifanye vizuri wakati timu ilikuwa inalia njaa hata usajili tia tia maji.
Sasa hivi yanga hakuna ukame hivyo kuzigonga timu kwenye league za ndani kawaida tu hata simba alipata zake 5 sijui naye alipokea kitita.
Halafu kama yanga inahonga kama mnavyosema, aisee basi hakuna hata haja ya kusajili wachezaji wa gharama mana si bahasha itaongea...
Ifike mahali wana simba mueleweke, yanga tunaroga au tunahonga maana hamweleweki.
Ni huzuni kwa kweli, wakipigwa wao et ooh mnaloga, wakipigwa wengine ooh bahasa, yaani in general hawataki kabisa yang ishinde.
 
Wabongo punguzeni kelele, Yanga wapo vizuri uwanjani kwa sasa...

Kama mti mbichi Simba alichezea mkono, mti mkavu Ihefu ni nani asichezee mkono pia...
 
Kwani simba nae alihongwa na gsm??
Sifuatulii mpira siku hizi, ingekuwa ni miaka ile ya 2015 kurudi nyuma, lazima ningekuwa nina moja mbili kwenye suala hilo.

Ingawa najua, kuhonga timu kunatofautiana, ukiwahonga viongozi, maana yake ni kama umeihonga timu nzima; ukihonga mtu mmoja mmoja, sio kuhonga timu!

Timu kubwa, si rahisi kuhongeka na timu nyingine na hasa ikiwa na ukubwa sawa.

Aishi, Matola etc walitajwa kuhongeka! Sawa tu na enzi za akina Mwameja, timu yote inakuwa Punda, anayeujua mchongo anakuwa mmoja wawili...Mwameja ndani, mzigo unapita airport kiulaini!

Itoshe kusoma, jiesiemu hana pesa zinazoandikika ila kawa tajiri mkubwa sana, nchi haina dolari, watu binafsi wanazo. Uwezo wa kutoa mpaka 5bn wanao, game zao zinaukakasi mwingi!
 
Back
Top Bottom