Mtini
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 1,492
- 2,361
CCM walijiamisha kuwa wameua upinzani kwa manunuzi ya waunga juhudi, walifikiri kwa kufanya hivyo wananchi watachukia vyama vya upinzani.
CCM walijiaminisha kuwa kampeni zitakuwa mteremko kwa kuonyesha madaraja na ndege, kumbe kuna kitu zaidi ya ndege wananchi wanakihitaji.
CCM walijiamisha kuzuia mikutano ya wapinzani na vikao vyao vya ndani kutaua upinzani na 2020 mambo yatakuwa mteremko.
CCM walijiaminisha katika dhana ya Bashiru kutumia dola kupata dola. Wakajua 2020 bonge la mteremko.
Kwanini nasema waliamini hivi? Matendo na kauli za viongozi wa serikali na CCM zilituonyesha mapema, kwa miaka hii mitano walikuwa wanaenenda kama 2020 hakutakuwa na uchaguzi na kama upo hakuna cha kuwazuia. Wasijue wananchi tumekata tamaa na maisha, tuko radhi kuchagua mawe kuliko watu. TL sio maarufu kihivyo ila tatizo wananchi tumechoka.
Ukiangalia kampeni za wagombea wa CCM ni kama ndio wanatafuta kukamata serikali kwa mara ya kwanza na CHADEMA ndio wanapigania kuongeza 5 mingine.
CCM wasipobadili strategy hawatoboi kwenye sanduku la kura. Hakuna rangi wataacha kuona mwaka huu. TL kwa bara na Maalim kwa zanzibar hawa ni wapinzani kweli na wasioogopa chochote, hii combinenga ya safari hii ni hatari wasifikirie kuiba kura kabisa option hii haipo kabisa.
CCM walijiaminisha kuwa kampeni zitakuwa mteremko kwa kuonyesha madaraja na ndege, kumbe kuna kitu zaidi ya ndege wananchi wanakihitaji.
CCM walijiamisha kuzuia mikutano ya wapinzani na vikao vyao vya ndani kutaua upinzani na 2020 mambo yatakuwa mteremko.
CCM walijiaminisha katika dhana ya Bashiru kutumia dola kupata dola. Wakajua 2020 bonge la mteremko.
Kwanini nasema waliamini hivi? Matendo na kauli za viongozi wa serikali na CCM zilituonyesha mapema, kwa miaka hii mitano walikuwa wanaenenda kama 2020 hakutakuwa na uchaguzi na kama upo hakuna cha kuwazuia. Wasijue wananchi tumekata tamaa na maisha, tuko radhi kuchagua mawe kuliko watu. TL sio maarufu kihivyo ila tatizo wananchi tumechoka.
Ukiangalia kampeni za wagombea wa CCM ni kama ndio wanatafuta kukamata serikali kwa mara ya kwanza na CHADEMA ndio wanapigania kuongeza 5 mingine.
CCM wasipobadili strategy hawatoboi kwenye sanduku la kura. Hakuna rangi wataacha kuona mwaka huu. TL kwa bara na Maalim kwa zanzibar hawa ni wapinzani kweli na wasioogopa chochote, hii combinenga ya safari hii ni hatari wasifikirie kuiba kura kabisa option hii haipo kabisa.