Mambo yanayo kufanya uwe mswahili...

Mambo yanayo kufanya uwe mswahili...

Duuuu-umegusa penyewe mkuu!
Kuweka simu kwenye silence hasa ukiwa na mkeo
1.Kuwa na nyumba ndogo.
2.Kuwa na wivu kwa mkeo.
3.Kuweka simu kwenye silence hasa ukiwa na mkeo.
4.Kuandika majina ya uongo kwenye address book ya simu yako.
 
kwenda kuomba chumvi, sukari kwa jirani yako.
Kujifanya umesahau kiswahili haswa wale waliopo nje ya nchi.
 
Back
Top Bottom