Mambo yanayoisibu SAUT Mwanza

Mambo ya aibu kabisa haya.
Wahusika hapo TEC hili mlifanyie KAZI.
Probably wanafanyia kazi. Hivi Mshahara wa yule Mhebeshi umepitishwa na nani? Analipa Kodi Ya serikali yetu Tukufua ya MAma Samia Suluhu Hassan? Ni kweli unamstahili? Ana qualifications za kuwa Financial Controller? Ina maana yeye ana uwezo zaidi ya DVC (PFA)? Hivi hili linajulikana? Inawezekanma wapoi mtu mgeni akaje Tanzania na mu manupulate watu? Yaani vyombo vyote ya TEC wameshindwa kuligundua hili?
 
Nimejaribu kusoma bandiko nimeshindwa kulimaliza sijui kwa nini...
 
Inakuaje mtu mmoja anajifanya Mungu mtu kwa kauli mbovu na lugha zisizo rafiki za kuambiwa binadamu nikisikia hivyo nakumbuka mambo ya Mwalimu Simba wa Tabora polytechnic college 😁
 
Duh aiseee ndoaana hawafundishi vizuri kumbe wana stress
 
Umesagia watu kunguni vibaya mno kama sio majungu basi apo Chuo kinaenda kujifia tu.
Inaelekea watu wameendekeza mapenzi kwenye kazi.
Naamini watalifanyia kazi
 
Mm nikili, nime soma SAUT na nimefanya kazi SAUT hapo awali. NIKA ONDOKA. Anae haribu chuo cha SAUT, ni Dr. Andre Negussie tu. Huyo m-Ehiopia.
Alimfukuza Prof. Mbassa kutoka SUA. Huyu Prof , alikuwa na maono makubwa kwa SAUT. Ila alipigwa vita sanaaa..aka ondoka.
Huyo mu ethiopia, ali undiwa cheo ambacho hakipo ktk muundo wa uongozi wa chuo wa SAUT, FINANCIAL CONTROLLER (FC). Licha ya cheo hicho cha Fedha, ila Dr. Negussie hana elimu yoyote ya Biashara wala uhasibu, yeye ni wa Theology tu. Hata mwaka jana kazawadiwa u professor wa kugaiwa na Prof. Mahalu, japo hana publications zozote wala zenye hadhi ya u professor.
SAUT chini ya Prof. Costa Rick Mahalu, haina jipya ni Retired and tired.

Watanzania wenzangu naomba tuwe makini na Wageni tunao wa ajiri ktk taasisi zetu. Wengine siyo wazuri.

Toka 2021 hadi 2023 SAUT ime poteza vijana, walio bakizwa na Rev. Fr. Charles Kitima kama tutorials na kusomeshwa na kuwa wahadhiri, wenye uzoefu wa miaka 5 hadi 9, wame ondoka woteeeee karibu stafu 50. Idara ya Civil Engineering ime bidi warudishe wa staafu walio kuwa wame wafukuza. Kisa kuondoka vijana.

Walimu wanadai Gratuity za kuanzia mwaka 2014 hadi leo bado hajalipwa. Walimu wote walio acha kazi SAUT, wanadai SAUT. NSSSF huyo mu-ethiopia hapeleki michango ya staff. Hawa NSSSF pia ni JIPU. Hawafustilii michango ya staffs wa SAUT. Kazi ya NSSSF ni kula bata tu.

Kifupi SAUT ina uliuwa na Dr. Negussie, rafiki na classmate wa Askofu Kasala wa Geita.
 
Nimekimbuka chuo changu Pendwa.

Tulikuwa na mwalimu anaitwa Acran John Mtalaamu wa History.

Poleni sana
Wasalimie watu wa Malimbe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…