Mambo yanayokatisha tamaa kuwapa lifti baadhi ya watu

Wewe dada niliekupakia Dodoma na ukashukia chalinze na kuiba vocha zangu za mitandao mbalimbali. UTAKUFA NAKUHAKIKISHIA, Nitafute upone, unajijua. Jinga sana.
 
Wewe dada niliekupakia Dodoma na ukashukia chalinze na kuiba vocha zangu za mitandao mbalimbali. UTAKUFA NAKUHAKIKISHIA, Nitafute upone, unajijua. Jinga sana.
pole sana mkuu, ilikuwaje hii episode kama hutajali imwage hapa unaweza kusaidika. maduu kumbe nao hawajambo.
 
pole sana mkuu, ilikuwaje hii episode kama hutajali imwage hapa unaweza kusaidika. maduu kumbe nao hawajambo.
Natoka zangu Dodoma pale stendi ya karibu na Bungeni, nikasema hili jini kuliko kulitembeza kigavo gavo hadi Dar acha nilambe vichwa. Nikapakia nginja kaa 4 hivi mixer duuh mmoja alikaa siti ya mbele. Sasa kwenye daily ilikuwa kwenye dashboard nikawa nimeweka vocha za Voda, Yas na Airtel kama za 100k hivi almost. Huyo du alishukia Chalinze kumbe alishuka nazo muda tumeenda kuchimba dawa ye alibaki garini ndo muda nilojua alizibeba nafika Dar kuzisaka sizioni...nikawawakia sana wanangu wa Car wash Kuja kukumbuka kumbe ni Dada jizi alishuka nazo Chalinze...naenda kuweka tego Mufindi wiki ijayo. Akipona ndagu zake kali!
 
Shida yako una asili ya uchoyo na ulitaka tujue unamiliki gari
 
Sisi wengine tuna gari zenye ground clearance ndogo.. unasimama umpe lift mtu mmoja, yanakuja majitu manne zaidi, na hawaoni aibu kwamba wapo wengi kuliko ukubwa wa gari yatajiminya yaenee yote.

Kuna Mmoja nilimpa lift, siti ya mbele huw naweka sim yeye akafungua mlango bila kuangalia akaikalia, ikabid nimuulize hujahis kitu umekalia akasema hapana.. bado kdg nimwambie ningeweka kidole hapo ungekalia? Alinipa hasira sana.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka.

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Kuna watu wawili ofisini yaliwakuta haya. Wa kwanza aliwapa lift wanafunzi wa sekondari, wakashuka na laptop yake. Wa pili aliwapa lift watu tu barabarani. Akafika mahali akaingia dukani mara 1. Aliyekuwa kakaa 'siti' mbele akabeba simu ya aliyewapa lift. Kuna mmoja nilikuwa nampa lift, akishuka anabamiza mlango balaa hadi motor ya kupandisha/kushusha kioo ikapata changamoto. Sijui km milango ya gari yake huwa anaibamiza hivyohivyo baada ya kununua ndinga yake.
 
Huyu wa kubamiza mlango, huenda alikua hajui namna ya kufunga.
Msamehe.

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…