StudentTeacher
JF-Expert Member
- Jan 30, 2019
- 4,153
- 4,301
Kuna tofauti gani na wakivaa hivyo mtaani?. Madhara ni yale yale tu.Me kero yangu ni kuona mtu amefunga Safari kutoka kwao kwenda kanisani na nguo zinazobana makalio hatari, mwishowe kutufanya wanaume kutenda dhambi kwa kuwaza.
Wito wangu, kanisani watu wavae kwa heshima ikiwa ni ishara wamehudhuria sehemu takatifu.
Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app