NICOLAX
JF-Expert Member
- Sep 4, 2014
- 250
- 138
Habarini maGT wa hapa jukwaani,
Leo nimeona niombe msaada wa mawazo kwa watu waliopevuka kiakili.
Ni muda mrefu sasa nimekua nikisikia kua ujana hivi mara ujana vile mara ujana maji ya chumri, kuna wadau wamekua wakizungumzia mambo yanayopaswa kufanywa au yasiyopaswa kufanywa kati ya umri wa miaka 15 na 25, mimi kama kijana ambaye umri wangu una range hapo kati natambua uwepo wa wadau wa rika zote hapa JF.
Hivyo basi kwa niaba ya vijana wote ningependa kuleta maada ambayo nina uhakika itatubadilisha sana sisi kama vijana kama tutafuata mashauri, mawazo, mawaidha, maonyo, na kila changizo ambalo litatolewa na maGT wa hapa jukwaani
Natanguliza shukrani
.made in mby city.
Leo nimeona niombe msaada wa mawazo kwa watu waliopevuka kiakili.
Ni muda mrefu sasa nimekua nikisikia kua ujana hivi mara ujana vile mara ujana maji ya chumri, kuna wadau wamekua wakizungumzia mambo yanayopaswa kufanywa au yasiyopaswa kufanywa kati ya umri wa miaka 15 na 25, mimi kama kijana ambaye umri wangu una range hapo kati natambua uwepo wa wadau wa rika zote hapa JF.
Hivyo basi kwa niaba ya vijana wote ningependa kuleta maada ambayo nina uhakika itatubadilisha sana sisi kama vijana kama tutafuata mashauri, mawazo, mawaidha, maonyo, na kila changizo ambalo litatolewa na maGT wa hapa jukwaani
Natanguliza shukrani
.made in mby city.