Goodrich
JF-Expert Member
- Jan 29, 2012
- 2,091
- 1,178
Kimsingi sababu kubwa inayotupunguzia umri wa kuishi na kututengenezea magonjwa sugu ni tabia yetu ya kuthamini vitu vilivyotengenezwa na wanadamu badala ya vile tulivyowekewa na Muumba wetu.
Mtu yupo tayari kununua juisi ya TShs 3500 badala ya embe la 500.
Mtu yupo tayari kutumia daladala mwendo wa hatua chache badala ya miguu yake.
Mtu yupo tayari kuweka mabati ili apate kivuli badala kupanda miti nk.
Tumeendekeza;
1. Matumizi ya bidhaa za viwandani eg mafuta ya kupikia, dawa za meno, soda, juisi, vipodozi, perfume etc (Tumeacha vitu vya asili tulivyowekewa na Muumba wetu)
2. Hatufanyi mazoezi (Miili yetu iliumbwa kufanya kazi/physical kwa kiwango fulani)
3. Mawazo na/au kukata tamaa (Hii husababishwa na changamoto za Dunia ya sasa ikiwamo kumiliki vitu, kudhulumiwa haki nk)
4. Hewa ukaa kutoka kwenye magari, viwanda nk
5. Kukosa mazingira tulivu ya kuishi, yenye hewa ya kutosha.
Ukiangalia afya za watu wanaoishi vijijini utagundua ni bora na imara kuliko wale wanaoishi mijini.
Ni vema kubadili lifestyle
Mtu yupo tayari kununua juisi ya TShs 3500 badala ya embe la 500.
Mtu yupo tayari kutumia daladala mwendo wa hatua chache badala ya miguu yake.
Mtu yupo tayari kuweka mabati ili apate kivuli badala kupanda miti nk.
Tumeendekeza;
1. Matumizi ya bidhaa za viwandani eg mafuta ya kupikia, dawa za meno, soda, juisi, vipodozi, perfume etc (Tumeacha vitu vya asili tulivyowekewa na Muumba wetu)
2. Hatufanyi mazoezi (Miili yetu iliumbwa kufanya kazi/physical kwa kiwango fulani)
3. Mawazo na/au kukata tamaa (Hii husababishwa na changamoto za Dunia ya sasa ikiwamo kumiliki vitu, kudhulumiwa haki nk)
4. Hewa ukaa kutoka kwenye magari, viwanda nk
5. Kukosa mazingira tulivu ya kuishi, yenye hewa ya kutosha.
Ukiangalia afya za watu wanaoishi vijijini utagundua ni bora na imara kuliko wale wanaoishi mijini.
Ni vema kubadili lifestyle