kwa muda mchache niliojiunga jf nimegundua mambo ambayo huwa yanawakera mno wakiwa jf
1: kuleta habari inayowagusa hisia/maslahi watu wengi ikiwa haina chanzo cha taarifa
2: kuleta hoja/taarifa bila maelezo/ufafanuzi wa kutosha
3: kushindwa kuandika maneno/sentensi ya lugha yoyote ile kwa ufasaha
4: kuwasema vibaya member ambao wanaheshimika mno hap jf
5: kuleta mada yenye viashiria vya kuonyesha kuwa mleta mada hajakomaa kiakili..
tuongezee na vingine
1: kuleta habari inayowagusa hisia/maslahi watu wengi ikiwa haina chanzo cha taarifa
2: kuleta hoja/taarifa bila maelezo/ufafanuzi wa kutosha
3: kushindwa kuandika maneno/sentensi ya lugha yoyote ile kwa ufasaha
4: kuwasema vibaya member ambao wanaheshimika mno hap jf
5: kuleta mada yenye viashiria vya kuonyesha kuwa mleta mada hajakomaa kiakili..
tuongezee na vingine