yan hii zaid ya hatarii man weng wamekutwa na kumwaga nnje halfu saiz wao wamebaki kuwa wapnz watazamaj, wkt inajulkana kuwa zawad pekee unayoweza kumpa mwanamke askusahau n mimba tu ssa wengne ujnga unaambiwa mwaga nnje1. Kumwaga nje.
Usijaribu hii kitu endapo mwenzi wako amekwambia yupo siku ya hatari.
Narudia tena, USIJARIBU KUSEMA UTAMWAGA NJE.
Hii hata akaunti pia hazijawahi baki salamaNundu ya Wema
Ndio hivyo yaani...hivi vitu vya kuchungaHahaaaa umetisha mkuu.
Mkuu Hii avatar , akikua hatawaacha watu salamaHouse Girl/Boy.....
Mke/Mume wa mtu...
Madawa ya kulevya....
Vyeti Feki......
Masturbation.....
Sasa mtu kama unafanya kavu unategemea nin kama sio Kubeba kinyesi? Mwisho ukapigwe Bomba ili usafishwe KibofuIkifanyw kupindukia au? Na vip kinga si zipo
Kula sukari ya Yesu ya mwanafunzi hakukuaxhi salama.πHabari zenu wakuu,natumaini mna afya njema kabisa na tunaendelea vizuri na mfungo.
Sasa hapa naomba tutaje vitu vyote visivyoacha watu salama maana naona vimezidi sasa tuvimalizie hapa ili tuachane navyo.
Kwa kuanza,KUTOKUA MAKINI UKIENDESHA VIFAA VYA MOTO HAVIKUACHI SALAMA!!!!
Karibuniπππ
Kupenda kutumia 0713
Kuugomea mdigree pale UDSM hakukuachi salamaKula sukari ya Yesu ya mwanafunzi hakukuaxhi salama.
Hahahaha yuko serious sana eeMkuu Hii avatar , akikua hatawaacha watu salama
Hilo LA kawaida1. Kumwaga nje.
Usijaribu hii kitu endapo mwenzi wako amekwambia yupo siku ya hatari.
Narudia tena, USIJARIBU KUSEMA UTAMWAGA NJE.