karibu tenaOwky miss nashukuru kwa kunifahamisha
asante babu teh teh tehkaribu mjukuu wetu
Jajajajaja naona umemtoa wasi wasi kabisa akifatwa huko asiwe na hofu ni siri[emoji85]private massage mnaona nyie tu huko ssi wengine hatuoni
siri kubwa na haruhusiwi mambo ya kule kuleta jukwaaniJajajajaja naona umemtoa wasi wasi kabisa akifatwa huko asiwe na hofu ni siri[emoji85]
Most welcom... bora umekuja utuletee maStoryz !! maana ilishaanza kuwa Boring JF!!Hi guys me mgeni humu naomba mnipokee nahitaji ushirikiano wenu ,nawapenda saaana
kwa nini danke ?Cute chunga hilo neno lako la my utapewa za uso humu kkkkkkkkkk
Humu kuna kila aina ya watu mpk mababu zenu na mabibi pia wapo sasa mkamu wa baba yako umwite my haijakaa poa hiikwa nini danke ?
mmmh xawa ,lakini my jina la kawaida tyuu hilooHumu kuna kila aina ya watu mpk mababu zenu na mabibi pia wapo sasa mkamu wa baba yako umwite my haijakaa poa hii
Njoo pm nikufundishe maana ya ban mkuu.samahani kidogo my nifahamishe kuhusu hiyo ban ndo kitu gani?
Xawa=sawammmh xawa ,lakini my jina la kawaida tyuu hiloo
muelekeze vizuri fursa hi I.sichezi mbali miss chaga hahaprivate massage mnaona nyie tu huko ssi wengine hatuoni
sijakuelewa hapa ndugu unamaana gani labda?Xawa=sawa
tyuu=tuu
hiloo=hilo
ameshaelewa badp swala la lugha tumuelekeze vizuri fursa hi I.sichezi mbali miss chaga haha
cute huu ni uandishi wa fb.. sasa huku kuna wazee wanapita huwa hawaelewi haya maneno andika kiswahili cha kawaidi ...sijakuelewa hapa ndugu unamaana gani labda?
sawa ntajitahidicute huu ni uandishi wa fb.. sasa huku kuna wazee wanapita huwa hawaelewi haya maneno andika kiswahili cha kawaidi ...
haya fanya hivyo cutieeesawa ntajitahidi