Mambo zenu jamani?

Mambo zenu jamani?

nitumie namba yako pm nina maswali ya kukutahini kabla hujakubaliwa rasmi humu
Ujue mimi ndo boss humu muulize miss chaga
Nakupa saa moja vinginevyo utapigwa ban
 
nitumie namba yako pm nina maswali ya kukutahini kabla hujakubaliwa rasmi humu
Ujue mimi ndo boss humu muulize miss chaga
Nakupa saa moja vinginevyo utapigwa ban
samahani kidogo my nifahamishe kuhusu hiyo ban ndo kitu gani?
 
Back
Top Bottom